A
Anonymous
Guest
Bima ya Afya kwa wanafunzi wa Vyuo ni tatizo kubwa.
Mtu unalipia bima Lakini kadi hupati zaidi ya miezi saba. Wanafunzi wamelipa tangu mwezi wa tatu kadi za bima hazijatolewa na ukiuliza wanasema taarifa zimefutika. Ukiandika taarifa upya wanasema taarifa hazifiki lakini control namba za malipo wanakupa na unalipia
Mtu unalipia bima Lakini kadi hupati zaidi ya miezi saba. Wanafunzi wamelipa tangu mwezi wa tatu kadi za bima hazijatolewa na ukiuliza wanasema taarifa zimefutika. Ukiandika taarifa upya wanasema taarifa hazifiki lakini control namba za malipo wanakupa na unalipia