Dazzle
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 214
- 56
Kuna tabia ya kuliibia shirika inayoendelea pale Regency hospital hasa kwa upande wa pharmacy. Utakuta mgonjwa ameandikiwa dawa za wiki mbili ukienda pale pharmacy yao wanakubill dawa za mwezi mmoja ukiwauliza wanakujibu jeuri eti kwani unalipa wewe.
Hapa siandiki hadithi bali ni jambo ambalo limenitokea. Pamoja na kuhoji sana na kuwauliza hizo nyingine mnataka nizipeleke wapi?wanakujibu kazitupe.Baada ya kuwagomea sana wakaniandikia dawa za siku 20 badala ya siku 14.
Ombi langu kwa NHIF ni kuwa wafuatilie maana huu ni wizi wa mchana kama sio kuwasaidia wenzenu wauze stock kubwa ya dawa kila siku kiulaini
Hapa siandiki hadithi bali ni jambo ambalo limenitokea. Pamoja na kuhoji sana na kuwauliza hizo nyingine mnataka nizipeleke wapi?wanakujibu kazitupe.Baada ya kuwagomea sana wakaniandikia dawa za siku 20 badala ya siku 14.
Ombi langu kwa NHIF ni kuwa wafuatilie maana huu ni wizi wa mchana kama sio kuwasaidia wenzenu wauze stock kubwa ya dawa kila siku kiulaini