Nguzo moja ya umeme ni Tsh. 200,000/=

Nguzo moja ya umeme ni Tsh. 200,000/=

Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mpendwa mteja

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) halina utaratibu wa kutoza pesa nje ya kiwango ambacho mteja anapaswa kulipa kupitia ofisi zetu au Bank zilizobainishwa. Aidha wapo watu wanajifanya ni wafanyakazi wa TANESCO ambao wanafanya udanganyifu kwa wateja wetu na kuwalaghai ili kujipatia fedha kinyume na sheria, hivyo basi kwa swala lako tunaomba utupatia taarifa zifuatazo ili tuweze kukupatia ufafanuzi wa eneo husika.

Namba ya simu?..........
Mkoa
Wilaya
Kijiji
Mtaa uliopo


Kwa taarifa hizi tutakupatia ufafanuzi stahiki mpendwa mteja

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA
MAKAO MAKUU,SIMU 0768985100/0222194400

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu mpendwa mteja

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) halina utaratibu wa kutoza pesa nje ya kiwango ambacho mteja anapaswa kulipa kupitia ofisi zetu au Bank zilizobainishwa. Aidha wapo watu wanajifanya ni wafanyakazi wa TANESCO ambao wanafanya udanganyifu kwa wateja wetu na kuwalaghai ili kujipatia fedha kinyume na sheria, hivyo basi kwa swala lako tunaomba utupatia taarifa zifuatazo ili tuweze kukupatia ufafanuzi wa eneo husika.

Namba ya simu?..........
Mkoa
Wilaya
Kijiji
Mtaa uliopo


Kwa taarifa hizi tutakupatia ufafanuzi stahiki mpendwa mteja

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA
MAKAO MAKUU,SIMU 0768985100/0222194400

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann mnalipisha nguzo za umeme mteja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Akirudi tena huyo wewe na wananchi wenzako mkamateni mumpeleke Police na Muitaarifu Tanesco.
Fateni maelekezo mliyopewa hapo juu mtapewa utaratibu sahihi
 
Nadha

Nadhani ungeanza na Pepsi,Coke cola na watu wa Bia kwanini wanakuuzia Chupa ili urudi kununua vimiminika vyao halafu rudi uwaulize hili swali lako
Toa jibu kama unalo maana mnakera sana.mi nahitaji umeme heti nje ya mita 30 unalipia nguzo alafu nguzo yenyewe yakwenu milele.nyieeee!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
SORAL ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
nimeshasema serikali yangu mie ni ya wanyonge,
 
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kilio kwetu tumekizoea tumewaachia wafanye wanavyotaka wao ahadi zimekua nyingi Mara mwezi wa tatu mara wa nne mpaka sasa wa nane bado na nguzo nimeziona ziko nyingi tu pale sub station moro hazina kazi badala wazisambaze kwenye maeneo hayana huduma ya umeme wanataka ziozee pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadha

Nadhani ungeanza na Pepsi,Coke cola na watu wa Bia kwanini wanakuuzia Chupa ili urudi kununua vimiminika vyao halafu rudi uwaulize hili swali lako


hivyo ni vitu viwili tofauti... nguzo ni kifaa ambacho hakirudi kiwandani kwa matumizi mengine kama chupa za soda...
 
hivyo ni vitu viwili tofauti... nguzo ni kifaa ambacho hakirudi kiwandani kwa matumizi mengine kama chupa za soda...
Kwa hiyo unadhani nguzo zinavyotumika kwa transportation ya Umeme sio matumizi
 
Back
Top Bottom