TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauriKwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani
Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama bado hujatoa usijaribu unapigwa hapo,Hii ni serikali ya awamu ya tano. wape mzee upate umeme. mimi nimeambiwa milioni moja (1,000,000/=). nguzo 2 na wameomba rushwa ya sh 250,000/= waniletee haraka
Haya nimeambiwa ofisi ya Tanesco, tena ya mkoaKama bado hujatoa usijaribu unapigwa hapo,
Tatizo la watanzania sijuh nini mnachoogopa kwenda kwenye ofisi husika na kupata majibu sahihi!
Ebwana mbona mimi hayo maneno ya nguzo laki mbili nimegewa ofisini kwao wenyewe?Kama bado hujatoa usijaribu unapigwa hapo,
Tatizo la watanzania sijuh nini mnachoogopa kwenda kwenye ofisi husika na kupata majibu sahihi!
Upo mkoa gani?Haya nimeambiwa ofisi ya Tanesco, tena ya mkoa
TaboraUpo mkoa gani?
PoaTabora
Ni pmTuliambiwa kuwa umeme wetu ni wa REA tumeshangaa wamebadilishwa
Nipo mtaa wa mbondole jimbo LA ukonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani
Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
laki mbili unalalamika
kusema nguzo laki mbili ni halali kabisa sababu hakuna bajeti ya kununua nguzo kwa ajili ya eneo lenu
mita utalipia,nyaya utalipia,nguzo utalipiakwahiyo tanesco kitengo cha kusambaza umeme wanafanya na biashara ya mita za luku, nyaya na nguzo !?
nauliza tu...