Nguzo moja ya umeme ni Tsh. 200,000/=

Nguzo moja ya umeme ni Tsh. 200,000/=

mtanzania asiye jielewa

Senior Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
179
Reaction score
99
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo sio utaratibu wa TANESCO. Nenda ofisi ys karibu ya TANESCO Upate utaratibu ukishindwa mwone menejacwa TANESCO Eneo husika, maana unapoelekea ni kutapeliwa. Namba za mameneja wa TANESCO wa kila eneo zinapatikana katika website yao
Hao ni definetely VISHOKA
 
Unasemaje Tanesco wanakuibia wakati ushasema MTU kajitokeza na wazo la kuchangisha kiasi hicho cha fedha? Nikushauri nenda Tanesco ukachukue form ya maombi Tena ni bure na Kama utahitaji kujua jambo lolote palepale uliza utajibiwa achana na vishoka utaumia ndugu kwa kupoteza pesa zako.
 
Nguzo mmoja ni sh 200000
Na zinatakiwa nguzo 15 ili tuupate umeme


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama zinahitajika nguzo 15 mkuu hiyo ni project maana kwa sheria za tanesco kuanzia nguzo 8 ni project inahitaji viongozi au wakuu wa idara waiandikie taarifa ili kuiombea hela kazi hiyo!
Vuta subira tu mkuu, huenda ni hela haijatoka kuhusiana na hiyo project ila suala la laki 2 kila mmoja huo utakuwa utapeli/rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo sio utaratibu wa TANESCO. Nenda ofisi ys karibu ya TANESCO Upate utaratibu ukishindwa mwone menejacwa TANESCO Eneo husika, maana unapoelekea ni kutapeliwa. Namba za mameneja wa TANESCO wa kila eneo zinapatikana katika website yao
Hao ni definetely VISHOKA
Kijijini kwetu hakuna umeme pia na tulipofuatilia tuliambiwa nguzo ni laki mbili inabidi tuzilipie, baada ya kupima tumeona zinahitajika nguzo tatu kutoka barabarani.

Tupo kwenye mchakato wa kulipa pesa, naomba unipe taarifa zaidi maana tulifika mpaka ofisi zao ndiyo tukapewa haya maelekezo.
 
Kwenye mtaa wangu ninaoishi hatuma umeme toka kuumbwa Kwa Dunia . tumejaribu kufuatilia toka mwaka Jana mpaka Leo hakuna hata dalili
Ila kuna mdau ametudokezea ili tuletewe umeme sharti tujikusanye wakazi wote wa huu mtaa tuchange kila mtu sh 200000 Kwa ajili ya nguzo
Bado kuvutiwa umeme kuingia ndani

Swali
Langu je ni halali kuuziwa nguzo sh 200000?
Au Mimi niendelee kutumia soral
Au tanesco wanatuibia ?
Naomba kuwakilisha kwenu mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni serikali ya awamu ya tano. wape mzee upate umeme. mimi nimeambiwa milioni moja (1,000,000/=). nguzo 2 na wameomba rushwa ya sh 250,000/= waniletee haraka
 
Back
Top Bottom