Mkuu umenifanya nipaliwe kiporo cha ugali.
Huu utani unaofanana na ukweli sio mzuri.
Ina maana kuna sokwe katoroka mbugani au?????
Utakuta hata ahadi walizotoa baadae wanazikana na kusema tuliwanukuu vibaya.
Bila kumkwaza mtu yoyote ningeshauri wana-JF tujikite kwenye hoja badala ya kujadili physical appearance ya mtu. Hata kama hukubaliani na Wassira sidhani kama ni vema kujadili sura/umbo lake. Hakuna mtu miongoni mwetu aliyemwambia Mungu amuumbe alivyo, na leo hii unaweza kupata ajali na sura/umbo lako likabadilika kabisa.
Ni vema tukajenga ustaarab wa kuhemu wengine regardless ya maumbo yao.
Bila kumkwaza mtu yoyote ningeshauri wana-JF tujikite kwenye hoja badala ya kujadili physical appearance ya mtu. Hata kama hukubaliani na Wassira sidhani kama ni vema kujadili sura/umbo lake. Hakuna mtu miongoni mwetu aliyemwambia Mungu amuumbe alivyo, na leo hii unaweza kupata ajali na sura/umbo lako likabadilika kabisa.
Ni vema tukajenga ustaarab wa kuhemu wengine regardless ya maumbo yao.
Wassira anatakiwa asome hotuba ya Mubarak aliyoitoa mara tuu pale nguvu ya umma ilipoanza kushika kasi kwenye mitaa ya cairo. Alisema atawakamata wote wanaoandamana na kuwashikisha adabu na aliamuru jeshi lizime maandamano hayo mara moja.
Leo hii mubarak yuko wapi?
Kamwe usidharau nguvu ya umma, binadamu akichoka hata umtishe vipi utaondoka tu.
Sheria ipi anayoizungumzia huyu? Ya kuzuia mambo yenye tija kuwekwa hadharani bungeni, just because its from M4C MPs? Asamehewe bureKatika kile kinachoonekana kutuliza wananchi na upepo mbaya nchini kutokana na kauli yake ya kutishia kufuta CDM, jana waziri wa nchi ofisi ya Rais Stephen Wassira amekana kauli yake na kusema hana nia wala mpango wa kufuta CDM.
Amesema kauli yake aliyotoa alinukuliwa vibaya kwani ililenga vyama vyote na sio CDM pekee. Wassira amesema alichokuwa analenga ni umuhimu wa vyama vyote kufuata sheria lakini ameshtushwa na jinsi alivyoshambuliwa nchi nzima kwa kuhusisha matamshi yake na hujuma dhidi ya CDM.
Source: Mtanzania Jumapili