Katibu mkuu wa chama cha magamba Wilson Mukama jana alionja joto ya jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wilayani Musoma mkoani Mara.
Mukama alipata dhahama hiyo baada ya kuisema vibaya chadema. Taarifa zinadai baada ya katibu huyo kuanza kuisema vibaya chadema wananchi walianza kuondoka na wale waliobaki walimzomea hadi alipoamua kushuka jukwaani.
:A S thumbs_up:
Source: Taarifa ya habari ITV jana.
Mukama alipata dhahama hiyo baada ya kuisema vibaya chadema. Taarifa zinadai baada ya katibu huyo kuanza kuisema vibaya chadema wananchi walianza kuondoka na wale waliobaki walimzomea hadi alipoamua kushuka jukwaani.
:A S thumbs_up:
Source: Taarifa ya habari ITV jana.