'Nguvu ya umma' kumstaafisha siasa za Kenya Raila Amollo Odinga...

Are Kenyans not in here!!!!watupatie mwongozo kwamba who will be next president of Kenya,na siyo kumshambulia mwandishi!!Mwandishi sidhani kama ana makosa,yeye katoa ya kwake na tathimini yake kuhusu uchaguzi unaokuja wa Kenya:target::target::target:
 
Are Kenyans not in here!!!!watupatie mwongozo kwamba who will be next president of Kenya,na siyo kumshambulia mwandishi!!Mwandishi sidhani kama ana makosa,yeye katoa ya kwake na tathimini yake kuhusu uchaguzi unaokuja wa Kenya:target::target::target:

Daffi.....wenghi ya walalamishi hawana nguvu ya khoja.......................hata kuwapanguza matongotongoto naona uvivu........
 
Asante sana Ruta kwa taarifa hii kuhusiana na siasa za Kenya! Lakini penda usipende lazima zitapigwa tuu subiri na usikilizie hiyo March 2013!
[MENTION]
Ndallo[/MENTION] kupigana hakupo.......................kwa sababu kila kitu safari kipo wazi......................hakuna kuchakachua......................tume yao huru na mahakama ni huria kabisa.......................sasa ukishindwa unalalamikia nini?
 
ndugu yangu RUT umeingea marefu na makuu kuhusu Raila na Kenya, ila nafikiri umekosea kwa kusema nguvu ya umma itamfanya raila astaafu baada ya 2013. hapo kwenye nguvu ya umma nina matatizo napo kwa sababu umma wa kenya hauko kama watz yaani na umoja. umma wa kenya ni kama kondoo waliogawanywa katika makundi madogo dogo kila moja na mchungaji wake...in other words politics in kenya are dominated by tribal kingpins who need to join other kingpins to gather enough "numbers" to continue influence the political arena..kibaki was a kikuyu afterthought, a lightweight candidate, a perennial loser, a guy who coulndnt take the fight to Kanu like Matiba, Rubia, and other kikuyu elites who joined the fight for second liberation in the late 80's. Kibaki in 2002 wasnt expected to do anything special other than loosing once more and retire.

All changed thanks to Moi contempt and arrogance in choosing "kamwana" as his successor, Kibaki got a political lifeline since he was deemed soft enough to push aside by his kingmakers-akina Raila, Ngilu, kalonzo, etc Raila lost in 97, and 2007, surely tribal arithmetic dont favor him this time around as he has lost the kalenjin voting block to Uhuru, but he will still remain a political patron in kenya as long as kenyan politics remains played in tribal chess board na hapa hamna huu umma utakaomua kua Raila sasa basi.
[MENTION]
mharakati[/MENTION] katika wote waliochangia mada hii wewe tumetofautiana baadhi ya mambo huku tukiheshimiana................for that i thank you..................tatizo la Raila ni kuwa anachotaka ni uraisi to kumbuka he is over 70........possibly 73 or so...................akikoswa uraisi safari hii ina maana uchaguzi ujao atakuwa 78.............can the dot.com generation still remember him and vote for him....even if tribal arithmetic is put aside?
 
Mwandishi wa uzi huu ni mbumbumbu wa siasa za kenya

Hii PhD yako uliipata chini ya mwembe nini? Toa khoja za kutetea tuhuma zako vinginevyo you are just a loser.........
 
Last edited by a moderator:
Theres actually no way u would expect a sensible Kenyan to contribute to such a slanderous thread, look elsewhere within this forum to know who stands where and how things are holding up.
 
quote_icon.png
By PhD

Mwandishi wa uzi huu ni mbumbumbu wa siasa za kenya
Tena wa kupitiliza
[MENTION]
Ousofia[/MENTION] maoni ya kiujumla ni mepesi kuyatoa lakini kuyatetea huwa ni mshikemshike...................pitia hoja moja baada ya nyingine unieleze wapi sikusema ukweli.........................yaonekana siasa za kenya huzijui ila unajitutumua.........
 
The one who started this is so tribalistic,I have no more comments on this coz it is too too biased

PSM................wazazi wangu wote wawili ni wahaya................sasa hizi hoja zinatokea wapi?........kama unaona kaonewa pingana na khoja siyo na kabila langu ambalo kenya hakuna kabila langu hata nilitetee
 
Last edited by a moderator:
kweli kabisa mkuu,wakikuyu ndio walioleta ukabila hata ukiangalia kama sio Kenyatta kufia madarakani wakikuyu wangetawala kwa miaka mingi,Raila anaogopwa kutokana sera zake za kupambana na unyakuzi wa aridhi(land grabes) kwa mfano familia ya Kenyatta inamiliki aridhi ambayo ukiiweka kwa pamoja inalingana na mkoa wa nyanza,Moi na Ruto wamenyakua aridhi ya msitu wa mau ndo maana wanamchukia Raila coz anawapinga,angalia muungano wa Uhuru na Ruto ni kikabila ndo maana wabunge wa TNA ambao ni wakikuyu wamemkataa Mudavad lakini muungano wa cord una makabila yote.

Makendelu Musalia Mudavadi yumo kwenye muungano wa jubilee........................naye ni mkikuyu?.........alipokuwa na Amollo............................mlidai makabila yote anayo Raila..sasa amehama mnamwita naye mkabila..................wakenya wote ni wakabila tu.........................suala ni nani anakubalika? Ukoo wa oginga nao wamo kwenye umiliki mkubwa wa ardhi Kenya...........na umil.iki wao wa kiwanda cha Kisumu Mollasses...............ulipatikana kwa njia za kifisadi.............
 
Last edited by a moderator:
Let Kenyans make a statement and choose their own head of state through the ballot box instead of demonizing Raila and others in this forum. After all, who are you to speak on the behalf of the Kenyan voters?

Since when truthful facts are demonizing?............................ SHERRIF ARPAIO
 
Last edited by a moderator:
musalia is just a skeleton in JUBILEE, a statehouse project with no luhya backing, am from the western divide of this nation n yes, Mudavadi has been bought, his choice of party is not the representation of the wishes of his electorate. You are adamant on villifying Railas mollasses plant, please evaluate the Kenyattas" first before posting any more trash....infact NEPOTISM is rife in GEMA than anywhere in Kenya, from parastatal to MINISTRIES, job appointments...... Just the other day the presidents daughter was given a position in the tourism board on a silver platter. Kenyans were silent not that it wasnt noticed but what do we do?
Please keep your triballist maneno coz theres a whole lot of dung, a heap size of it about TNA/GEMA. Relieve yourself from your triballistic approach to issues, leaders and its leadership, its a great feeling mate. Stay clear of Kenyan politics. you are just a tanzanian suffering from identity disorder... . @Rutush....whatever that name.
 


SHERRIF ARPAIO
tatizo ninaloliona kwako hajaisoma khabari husika hata ukaielewa na unatoa tuhuma ambazo lengo lake ni kujifanya unazijua khabari ambazo hata huzielewi.......................ni mpumbavu tu ndiyo mwenye taswira ya kujitia kujua huku hajui kitu...........................kama wewe hii mada umeielewa ungelizipitia hoja moja baada ya nyingine na kuzibeza kwa kutoa vielelzo ulivyonavyo na mwishowe ukahitimisha na mahitimisho ya kuwa mada hii haisemi ukweli.........lakini kwa vile huna kipaji cha upembuzi yakinifu unabakia kubeza tu bila ya kujenga hoja.................kwa kawaida huwa sijibu upuuzi wa namna hii lakini nimeona nitumie muda huu kukupa darasa...................put up or simply shut up.
 
Mkuu, Ruta hili neno khoja ulilotumia hapo juu ni lugha ipi tafadhali?

PhD usikosoe kwa maelezo ya ujumla wakati undani wa khabari umepewa. Toa ushahidi wako kupinga khoja zilizopo mezani vinginevyo hii PhD yako ni ya chini ya mwembe............
 
Last edited by a moderator:
musalia is just a skeleton in JUBILEE, a statehouse project with no luhya backing, am from the western divide of this nation n yes, Mudavadi has been bought, his choice of party is not the representation of the wishes of his electorate. You are adamant on villifying Railas mollasses plant, please evaluate the Kenyattas" first before posting any more trash....infact NEPOTISM is rife in GEMA than anywhere in Kenya, from parastatal to MINISTRIES, job appointments...... Just the other day the presidents daughter was given a position in the tourism board on a silver platter. Kenyans were silent not that it wasnt noticed but what do we do?
Please keep your triballist maneno coz theres a whole lot of dung, a heap size of it about TNA/GEMA. Relieve yourself from your triballistic approach to issues, leaders and its leadership, its a great feeling mate. Stay clear of Kenyan politics. you are just a tanzanian suffering from identity disorder... . @Rutush....whatever that name.

livefire at least you can argue, not like other scribes, though you have strayed on the wrong frontier...........tribalism is rife not only in GEMA but in the whole of Kenya. Contradict me if the current Kenyan parliament have not discussed Raila nepotism............Kenya is east african how can I stay away in a country preparing to be part of a federation with my country? You are not serious...............................and do not forget Kenya is my neighbour.................eager to steal tz jobs...............Is it wrong to peek at what my neighbour who has such a potential to ravage my grotto?

Remember in TZ freedom of expression is a constitutional right.......why do you want to gag me from expressing what i feel. I urge you to continue expressing what you feel even if a couple of faces may be displeased that includes me.................
 
Mimi nitasema ukweli kuhusu matumaini ya Raila kunyakua uongozi based on his strategy bila kujadili maswala ya ukabila ambayo ndio hoja iko kwa kinywa cha wengi. Mwaka wa 2002 Raila alitia saini kwenye mkataba na kusema Kibaki Tosha. Liliomfanya kushidndwa kuipigania uongozi mwenyewe haieleweki maana alikuwa na nafasi nzuri. Kumfikia kibaki na kummpa uongozi inadhihirisha mtu ambaye confidence yake haikuwemo na raia.

Hivi najua wengi watakerwa na yale nitakayosema. Raila alitaka kutumia kura ya wakikuyu kubwaga moi maana wajaluo hawangeweza kumuondoa mamlakani. Ikiwa haieleweki Sasa hivi Raila ana kisasi na tukio hilo maana atasema wakikuyu waliiba kura zake.

Sasa uelewe kuwa watu hawasomi kutokana na historia, Raila anafanya makosa yale yale kwa kutumia kura za wakamba kupitia kalonzo, halafu baadaye, atambwaga kalonzo na kueneza ghadhabu na chuki zake dhidi ya wakamba. Wadau historia itajirudia hivi karibuni.
 
SHERRIF ARPAIO[/URL][/B] tatizo ninaloliona kwako hajaisoma khabari husika hata ukaielewa na unatoa tuhuma ambazo lengo lake ni kujifanya unazijua khabari ambazo hata huzielewi.......................ni mpumbavu tu ndiyo mwenye taswira ya kujitia kujua huku hajui kitu...........................kama wewe hii mada umeielewa ungelizipitia hoja moja baada ya nyingine na kuzibeza kwa kutoa vielelzo ulivyonavyo na mwishowe ukahitimisha na mahitimisho ya kuwa mada hii haisemi ukweli.........lakini kwa vile huna kipaji cha upembuzi yakinifu unabakia kubeza tu bila ya kujenga hoja.................kwa kawaida huwa sijibu upuuzi wa namna hii lakini nimeona nitumie muda huu kukupa darasa...................put up or simply shut up.
Your baseless allegations don't hold any water. You are the one who sounds myopic, and don't understand the subject inside out. When I expose your myopic analysis about the story, you just end up fuming and tell me to just shut up...as if JF belongs to you, and you only. How dare can you tell another JF member to shut up? How silly is that? It's ridiculous and absurd. We present our arguments based on facts, and not absurdity.
 
Back
Top Bottom