matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Hata U.K. hawawataki hao mbwa cc.dk slaa
Acha matusi mkuu,upate elimu...Mmarekani mwenyewe alijaribu kuleta madheebu ya kilokole hili kupunguza nguvu ya catholic ila ameishia kusalimu amri.
Hata U.K. hawawataki hao mbwa cc.dk slaa
Kwanza sii kweli Jesuit ni shirika la kijasusi la Kanisa Katoliki!.
Pili sii kweli ukipingana na ukatoliki umepigana na Uhai wako!, wako Wakatoliki kibao walioasi na leo wanaendelea kuishi!.
Hivyo usilete uongo huu, ila pia niliwahi kuuliza humu, Kwanini, Rais wa Tanzania, akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?!. uzi ule ulifutwa fasta ila Julius alikuwa Mkatoliki, Benyamini naye alikuwa Mkatoliki, hivyo aliyepaswa kufuata mwaka huu, 2015 alikuwa ni awe Bernado, Petiro, au Yahane!, ila Eduarado amekubaliwa kwa sababu Regina ni Mkatoliki, ndio maana hamsikii juhudi zozote kutoka kwa Samwilu! au Federiko!.
- Padri Felician Mkwera ni Padri wa Katoliki, amepgana Ukatoliki, ameanzisha kundi la Wanamambi na anaendelea kuishi!.
- Askofu Kakobe alikuwa Mkatoliki, amepigana na Ukatoliki ameanzisha kanisa la FGBF na anendelea kuishi!.
- Mtume na Nabii, Josephat Mwingira alikuwa Mkatoliki, amepingana na Katoliki kaanzisha Ephata na yupo!.
- Mzee wa Upako, Anton Lusekelo alikuwa Mkatoliki, ameanzisha kanisa lake la Upako pale Ubungo na yupo!.
- Padri W.P Slaa, ni Padri wa Katoliki, kapingana na useja, akaacha Upadri, na leo ni mwanasiasa na yupo!.
- The list goes on....
Na kufuatia Ukatoliki huu, hata majina kama Januari, Anderea ni majina ya kikatoliki!.
Pasiko
Kwanza sii kweli Jesuit ni shirika la kijasusi la Kanisa Katoliki!.
Pili sii kweli ukipingana na ukatoliki umepigana na Uhai wako!, wako Wakatoliki kibao walioasi na leo wanaendelea kuishi!.
Hivyo usilete uongo huu, ila pia niliwahi kuuliza humu, Kwanini, Rais wa Tanzania, akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?!. uzi ule ulifutwa fasta ila Julius alikuwa Mkatoliki, Benyamini naye alikuwa Mkatoliki, hivyo aliyepaswa kufuata mwaka huu, 2015 alikuwa ni awe Bernado, Petiro, au Yahane!, ila Eduarado amekubaliwa kwa sababu Regina ni Mkatoliki, ndio maana hamsikii juhudi zozote kutoka kwa Samwilu! au Federiko!.
- Padri Felician Mkwera ni Padri wa Katoliki, amepgana Ukatoliki, ameanzisha kundi la Wanamambi na anaendelea kuishi!.
- Askofu Kakobe alikuwa Mkatoliki, amepigana na Ukatoliki ameanzisha kanisa la FGBF na anendelea kuishi!.
- Mtume na Nabii, Josephat Mwingira alikuwa Mkatoliki, amepingana na Katoliki kaanzisha Ephata na yupo!.
- Mzee wa Upako, Anton Lusekelo alikuwa Mkatoliki, ameanzisha kanisa lake la Upako pale Ubungo na yupo!.
- Padri W.P Slaa, ni Padri wa Katoliki, kapingana na useja, akaacha Upadri, na leo ni mwanasiasa na yupo!.
- The list goes on....
Na kufuatia Ukatoliki huu, hata majina kama Januari, Anderea ni majina ya kikatoliki!.
Pasiko
Kula like ya kimtindo mkuu
sina tatizo na yeyote yule ila tambueni kua katoliki ndie mama mlezi wa madhehebu yote ya kikatoliki iwe ludheri,wokovu,ufufuo ,kakobe wote hao walilelewa na katoliki full.
Unazungumzia Ulaya ipi?? na wazungu wa aina gani unaowazungumzia?? This is too general, Nani alikwambia huku kwetu kuna jazba!! There is no human civilization without Christianity
Kwanza sii kweli Jesuit ni shirika la kijasusi la Kanisa Katoliki!.
Pili sii kweli ukipingana na ukatoliki umepigana na Uhai wako!, wako Wakatoliki kibao walioasi na leo wanaendelea kuishi!.
Hivyo usilete uongo huu, ila pia niliwahi kuuliza humu, Kwanini, Rais wa Tanzania, akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?!. uzi ule ulifutwa fasta ila Julius alikuwa Mkatoliki, Benyamini naye alikuwa Mkatoliki, hivyo aliyepaswa kufuata mwaka huu, 2015 alikuwa ni awe Bernado, Petiro, au Yahane!, ila Eduarado amekubaliwa kwa sababu Regina ni Mkatoliki, ndio maana hamsikii juhudi zozote kutoka kwa Samwilu! au Federiko!.
- Padri Felician Mkwera ni Padri wa Katoliki, amepgana Ukatoliki, ameanzisha kundi la Wanamambi na anaendelea kuishi!.
- Askofu Kakobe alikuwa Mkatoliki, amepigana na Ukatoliki ameanzisha kanisa la FGBF na anendelea kuishi!.
- Mtume na Nabii, Josephat Mwingira alikuwa Mkatoliki, amepingana na Katoliki kaanzisha Ephata na yupo!.
- Mzee wa Upako, Anton Lusekelo alikuwa Mkatoliki, ameanzisha kanisa lake la Upako pale Ubungo na yupo!.
- Padri W.P Slaa, ni Padri wa Katoliki, kapingana na useja, akaacha Upadri, na leo ni mwanasiasa na yupo!.
- The list goes on....
Na kufuatia Ukatoliki huu, hata majina kama Januari, Anderea ni majina ya kikatoliki!.
Pasiko
Mkuu nimepitia hayo mashirika sijaiona chadema kwa nini?
Uimara na uthabiti wa fikra za kibinadamu hupimwa kwa matokeo ya mapokeo ya watu katika mukdhada wa kifikra hizo,
Aghalabu dunia hutawaliwa na kuamuliwa na wenye akili nyingi, Lolote ulijualo katika fikra na mikingamo yako sivyo lililovyo,
Uafrika mbele ya mzungu ni ushenzi, na uzungu mbele ya muafrika ni utukufu.
Ninaamini Afrika haikukamilika uumbaji wake, pengine ni bara la giza, Uzungu ni nusu uungu, sikubaliani na ushenzi wa Mzungu.
Uafrika ni uungu halisi kwa mwafika, msipoteze utu wenu kwakuabudu umagharibi na ubeberu huku mkitukuza dini zilizoletwa kwa majahazi na kuacha UCHAWI ambao ndio dini za mababu zenu na ndio uafrika wenu.
Leo miaka milioni iliyopita, mzungu anawaabudisha nyinyi Waafrika kwa machapisho yake kuwa kuna Mungu wao na miungu yetu ni ushenzi? Miungu ya Afrika iliyotuletea mvua pasipo na mvua, Miungu ya Afrika iliyotushindia palipo na vita, Miungu ya Afrika iliyotupa uzima palipo na magonjwa, Miungu ya Afrika iliyotusimikia watawala palipo na hitaji hilo, Miungu ya Afrika iliyotusafirisha kwa sekunde tu hata tukitaka kwenda bara la Antaktiki.
Miungu ya Afrika yetu ni ushenzi na miungu ya mabeberu ni uungu mkuu? Leo tunauana kisa dini hizo za washenzi wa magharibi??
Aminini katika uafrika wenu, ustaarabu wa mwafirika wa kulogana na ulozi vidumishwe na kuboreshwa, huo ndio ustaarabu mkuu na utukufu wa Mwafrika, Amueni sasa kutotawaliwa mtakuwa huru, Mzungu atawaiga nyinyi badala ya nyinyi kumuiga yeye
Kwanza sii kweli Jesuit ni shirika la kijasusi la Kanisa Katoliki!.
Pili sii kweli ukipingana na ukatoliki umepigana na Uhai wako!, wako Wakatoliki kibao walioasi na leo wanaendelea kuishi!.
Hivyo usilete uongo huu, ila pia niliwahi kuuliza humu, Kwanini, Rais wa Tanzania, akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?!. uzi ule ulifutwa fasta ila Julius alikuwa Mkatoliki, Benyamini naye alikuwa Mkatoliki, hivyo aliyepaswa kufuata mwaka huu, 2015 alikuwa ni awe Bernado, Petiro, au Yahane!, ila Eduarado amekubaliwa kwa sababu Regina ni Mkatoliki, ndio maana hamsikii juhudi zozote kutoka kwa Samwilu! au Federiko!.
- Padri Felician Mkwera ni Padri wa Katoliki, amepgana Ukatoliki, ameanzisha kundi la Wanamambi na anaendelea kuishi!.
- Askofu Kakobe alikuwa Mkatoliki, amepigana na Ukatoliki ameanzisha kanisa la FGBF na anendelea kuishi!.
- Mtume na Nabii, Josephat Mwingira alikuwa Mkatoliki, amepingana na Katoliki kaanzisha Ephata na yupo!.
- Mzee wa Upako, Anton Lusekelo alikuwa Mkatoliki, ameanzisha kanisa lake la Upako pale Ubungo na yupo!.
- Padri W.P Slaa, ni Padri wa Katoliki, kapingana na useja, akaacha Upadri, na leo ni mwanasiasa na yupo!.
- The list goes on....
Na kufuatia Ukatoliki huu, hata majina kama Januari, Anderea ni majina ya kikatoliki!.
Pasiko
Uimara na uthabiti wa fikra za kibinadamu hupimwa kwa matokeo ya mapokeo ya watu katika mukdhada wa kifikra hizo,
Aghalabu dunia hutawaliwa na kuamuliwa na wenye akili nyingi, Lolote ulijualo katika fikra na mikingamo yako sivyo lililovyo,
Uafrika mbele ya mzungu ni ushenzi, na uzungu mbele ya muafrika ni utukufu.
Ninaamini Afrika haikukamilika uumbaji wake, pengine ni bara la giza, Uzungu ni nusu uungu, sikubaliani na ushenzi wa Mzungu.
Uafrika ni uungu halisi kwa mwafika, msipoteze utu wenu kwakuabudu umagharibi na ubeberu huku mkitukuza dini zilizoletwa kwa majahazi na kuacha UCHAWI ambao ndio dini za mababu zenu na ndio uafrika wenu.
Leo miaka milioni iliyopita, mzungu anawaabudisha nyinyi Waafrika kwa machapisho yake kuwa kuna Mungu wao na miungu yetu ni ushenzi? Miungu ya Afrika iliyotuletea mvua pasipo na mvua, Miungu ya Afrika iliyotushindia palipo na vita, Miungu ya Afrika iliyotupa uzima palipo na magonjwa, Miungu ya Afrika iliyotusimikia watawala palipo na hitaji hilo, Miungu ya Afrika iliyotusafirisha kwa sekunde tu hata tukitaka kwenda bara la Antaktiki.
Miungu ya Afrika yetu ni ushenzi na miungu ya mabeberu ni uungu mkuu? Leo tunauana kisa dini hizo za washenzi wa magharibi??
Aminini katika uafrika wenu, ustaarabu wa mwafirika wa kulogana na ulozi vidumishwe na kuboreshwa, huo ndio ustaarabu mkuu na utukufu wa Mwafrika, Amueni sasa kutotawaliwa mtakuwa huru, Mzungu atawaiga nyinyi badala ya nyinyi kumuiga yeye
Imani ipi inazungumziwa, kwa mujibu wa nani hii ndio imani na hii sio??!!pasco, u missed a point bro..."uhai wa kiroho" uliozungumziwa ni wa kiimani na sio kama ulivyoelewa kwamba mtu atafariki, unaweza ukawa unaishi lakini roho yako isiwe hai(hapo ni kiimani zaidi maana ha2zungumzii mwili bali roho)
Ukipewa tuhuma za mauwaji ya albino zipokee tuu.
Huwa sikusomi some times my brother Yericko Nyerere.!!?
Kwa uelewa wangu Jesuit ni moja ya mashirika katika kanisa katoliki lenye jukumu la kulinda na kutetea ukatoliki duniani so it's purely an intelligence agency Kama ya nchi.ila jukumu la ulinzi na usalama ni la nchi husika.ndio maana makasisi waliopo Kwenye shirika hili huwa ni wasomi wa hali ya juu,ili kuweza kufoil any attempt ya kulivuruga kanisa katoliki.ila Papa yeye analindwa na special security detail recruited from the Swiss Army.well trained comandos, na Ndio Roma wameingia nao mikataba.
Nawasilisha
Yerico hua unachanganya uongo na ukweli siku zote