Nguvu ya mende

Nguvu ya mende

Mie naogopa panya jamani pamoja na chura yaani siwezi kukaa au kulala nikijua wapo eneo nilipo utanikuta juu ya stuli au kigoda au kochi huku natafuta jinsi ya kumuua au kuomba msaada.

Tuko wengi.Naogopa panya jamani.Kuna kipindi wakati tuko chuo marafiki zangu waliniambia panya kaingia room kwangu.Nilikaa kwenye room zao kuanzia saa kumi na moja mpaka sa tatu usiku.Kumbe walikua wananidanganya.
 
Mende huwa namuona ana jina kubwa kuliko umbo lake.cokroach.Ila simuogopi.
 
Hahaha
Niliwah kuangukiwa na mjusi nikiwa naoga, sitosahau.. Nili paramia mlango na skufanikiwa kutoka vizuri, nikaanguka... Usiombe utue na kalio... inaumaje,afu mtupu.. lol
Nililia afu nikaishia kujicheka!
 
Hahaha
Niliwah kuangukiwa na mjusi nikiwa naoga, sitosahau.. Nili paramia mlango na skufanikiwa kutoka vizuri, nikaanguka... Usiombe utue na kalio... inaumaje,afu mtupu.. lol
Nililia afu nikaishia kujicheka!

Duh pole sana Chocs
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini Wanawake wanaogopa sana Mende?

kwa upande mwingine karibu viumbe vyote vinamdharau sana mwanamke...

mfano angalia nyani, tumbili, beberu..... sembuse yeye mwenyewe kujidharau kwa kuogopa mende? lol..
 
utafiti, kwangu kinyonga ananinyima raha kabisa, nakua mdogo sana najitahidi kumzoea lakini wapi.
Naweza kupambana na nyoka chura n.k isipokua huyo kamanda anaeitwa kinyonga, dah!
 
Last edited by a moderator:
p026xpnx.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom