Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Na pengine kutwa mara tatu...!!!!
Hahahahaaa chezea pussycat wewee ni mwendo wa 1*3
Na pengine kutwa mara tatu...!!!!
ni per one person or?
That information is classified and confidential
Unauhakika huogopi?
Waapii hamna yaani labda nisijue ila nikijua yupo sikai hapo natafuta mlango wa kutokea. Kunasiku nilikuwa natembea tukielekea makaburini kuzika kulikuwa na manyunyu na ilikuwa kijijini nusura nivue nguo baada ya chura wa kijani kunirukia vile vidogodogo weeh acha kabisa nilirudia njia ingine.
With official navy seal...!
Kungekuwa hakuna jam ningekujion Niko sinza natibu majeraha ya mning'inio
mpwa mbona siwaelewi
Wanasema ukila chakula bila kubadilisha unapoteza appetite sasa wewe inakuaje?
With official navy seal...!
Wanasema ukila chakula bila kubadilisha unapoteza appetite sasa wewe inakuaje?
Hahhahaaaaaa my dearest mpwa been missing you
Brave girl Honey Faith
Yaani nilitupa simu chini kwa woga thank God kuna mchanga vinginevyo BlackBerry yangu ingepasuka