matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,369
Ukiteka vyombo vya habari umeteka dunia.
TB Joshua (hayati) alikuwa amkaribii kwa chochote Mzee Oyadepo.
Oyadepo ndio mchungaji Tajiri kuliko wote ulimwengini.
Amehamasisha watu wengi kuwa matajiri duniani. Ukisoma kitabu cha Oyadepo ukaja ukisoma cha TB ni sawa na kula Mua na kisha ukaletewa menyu ya miwa iliyotafunwa na kutolewa utamu.
Ndio Muafrika wa kwanza kuwa na makanisa hadi ulaya. Ukraine alikuwa na kanisa kubwa lenye waumini wazungu kibao wakati TB anaarika wazungu SCOAN na kuwapa coverage kubwa.
TB alikuwa bingwa wa kuaminisha kwa kutumia media. Hata alipofungiwa na serikali akafanya mchongo wa kuhamia kwenye Satellite broadcast hapo ndipo alipoteka soko kote duniani hasa Africa huku wanigeria wenzake wakibaki local.
Somo : Kuna nguvu katika Media, Ukiwa na kitu chako lakini hujitangazi utabaki kuonekana duni licha ya kuwa na uwezo mkubwa.
SOMO: Oyadepo na yeye anafundisha watu tufocus katika matokeo sio maneno. Oyadepo anamengi ya kufundisha kuliko.
Note: Oyadepo ndio mmiliki wa makanisa ya Winners.
Mnaomfahamu zaidi mtujuze na mambo ya kujifunza kutoka kwao ukiacha figisu zao visonzoni mwa sadaka.
TB Joshua (hayati) alikuwa amkaribii kwa chochote Mzee Oyadepo.
Oyadepo ndio mchungaji Tajiri kuliko wote ulimwengini.
Amehamasisha watu wengi kuwa matajiri duniani. Ukisoma kitabu cha Oyadepo ukaja ukisoma cha TB ni sawa na kula Mua na kisha ukaletewa menyu ya miwa iliyotafunwa na kutolewa utamu.
Ndio Muafrika wa kwanza kuwa na makanisa hadi ulaya. Ukraine alikuwa na kanisa kubwa lenye waumini wazungu kibao wakati TB anaarika wazungu SCOAN na kuwapa coverage kubwa.
TB alikuwa bingwa wa kuaminisha kwa kutumia media. Hata alipofungiwa na serikali akafanya mchongo wa kuhamia kwenye Satellite broadcast hapo ndipo alipoteka soko kote duniani hasa Africa huku wanigeria wenzake wakibaki local.
Somo : Kuna nguvu katika Media, Ukiwa na kitu chako lakini hujitangazi utabaki kuonekana duni licha ya kuwa na uwezo mkubwa.
SOMO: Oyadepo na yeye anafundisha watu tufocus katika matokeo sio maneno. Oyadepo anamengi ya kufundisha kuliko.
Note: Oyadepo ndio mmiliki wa makanisa ya Winners.
Mnaomfahamu zaidi mtujuze na mambo ya kujifunza kutoka kwao ukiacha figisu zao visonzoni mwa sadaka.