Elections 2010 Nguvu ya Dr.Slaa Mwanza kumpeleka Kikwete tena Mwanza?

poleni mliopigwa mabomu kwa ajili ya kumsubilia
rais mtarajiwa
pigeni kura kwa slaa kupunguza hasira zenu.
 
I think saa ya ukombozi ipo karibu mno; kama sio mwaka huu basi 2015.... baada ya uchaguzi Dr. Slaa usilale endeleza mapambano mpaka kieleweke................................:A S thumbs_up:

ciao
 
Yaani hii picha ni ya kihistoria!

2s7iezq.jpg
 
Ni sawa na mtu kujisikia kama vile unataka kwenda "uani" vile... au sawa na mtu unapoenda kupima sasa ikifika kipindi cha kuchukua majibu.
 
Nilikuwepo katika uwanjwa wa Mgomeni ninachoweza kusema picha hii siyo ya Magomeni nimeiangalia kwa makini sana, kwanza hainionyeshi eneo la soko la kiruumba kwa jinsi ambavyo gari la Jukwaa lilipowekwa kila aliyempiga picha Slaa ni lazima kipande cha eneo la soko kionekane kwa juu. Ila kwa maneno hayo Umati wa watu waliokuwepo katika picha hiiyo ni kidogo sana na waliokuwepo katika uwanja wa magomeni.
Naungana na wote waliosema umati wa watu waliofurika magomeni ulikuwa ni wa kutisha sanaaaaaaa.
Hapo ndiyo fikiria kama wasingepigwa mabomu na watu wengine wakakimbia, kwani kumbuka watu walianza kuhudhuria majira ya saa 4 asubuhi furahisha kuwahi nafasi na wakapigwa mabono kwa mara ya kwanza saa 6: 30 na baada ya umati huo wa awali kutimua wakaja wengine nao wakapigwa mabomu saa 9. watu walijuwa wengi sana.
 
Kwa ratiba ya Tume Kikwete atakuwa Mkoani Mwanza lakini akianzia wilaya ya Geita kwa ijumaa na jumamosi, naendeleoa kufuatilia zaidi
 
Huo umati unaosimuliwa hapa JF iwapo ni wa kweli basi si wa kushtua.Na JK hana sababu kurudi huko kuwapa kidomo domo washabiki wa dkt.Slaa.
Ikiwa ni umati mkubwa hakuna aliyeongoza kama prof.Lipumba siku ya urudishaji fomu hapa Dar.Jengine ni kuwa Mwanza pamoja na kuwa ina wapiga kura wengi lakini ni sehemu ndogo tu ya Tanzania.
Hata watu wakijitokeza namna gani tatizo la dkt.Slaa lipo pale pale kuwa ni mgombea nuksi kuliko hata Hashim Rungwe.Tunavyoelezwa ni kuwa baada ya kufika hapo Furahisha alisema:
" katika kufanya maamuzi magumu kuhusu kufuta kodi ya serikali katika vifaa vya ujenzi, hatatazama nchi za Afrika Mashariki, kama anavyotaka Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashriki, Dk. Diodurus Kamala kwa vile maamuzi atakayochukua ni kwa ajili ya maslahi ya Watanzania."
Kwa maana hiyo amekusudia kuvunja mafanikio yote yaliyofikiwa katika kuelekea umoja wa Afrika Mashariki.




Hapana Ami anachosema Dr. Slaa ni kuwa atazingatia maslahi ya wananchi maskini wa Tanzania kwanza kabla ya kuangalia matakwa ya jumuia au mtu mwingine yeyote. Kwa mtazamo wangu hicho ndicho viongozi wetu walichotakiwa kuzingatia kabla ya kuaini mikataba yote waliyosaini ikiwemo ya jumuia ya afrika mashariki. Kama mikataba ya jumuia hairuhusu nchi wanachama kuchukua hatua za kuboresha maisha ya watu wao ikiwa ni pamoja na kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi basi haina tofauti na hii ya migodi ya dhahabu. Kwani hata hiyo jumuia itapata uhalali pale tu itakapolenga katika kuwainua wananchi maskini wa afrika mashariki kutoka kwenye lindi la umaskini unaotukabili. Vinginevyo umoja huu utakiwa hauna maana yoyote na utakufa tu.
 
Jamani, Mwanza jiji mbona mnatuletea picha mmoja tu. Tafadharini tuleteeni nyingine hata wale wanao-doubt kama Tomaso waanze kuamini atleast siku kumi kablka ya uchaguzi.
 
subilieni tena the same umati arusha,moshi na manyara,mbona jk atajibeba mwaka huu na pete zake tatu
 
Aje na timu nzima ya Clouds...na fiesta....na Bi Kidude...watu wapate burdani wasahau mabomu...halafu wakapige kura kwa CHADEMA
 
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20, huenda nitaye mpigia kura ya Urais akapita!!
PEPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR.
 
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20, huenda nitaye mpigia kura ya Urais akapita!!
PEPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR.

Mukulu, safi kabisa .... naona hatimae Mungu kasikia sala za watanzania.
Siku zote nilikuwa nasononeka ni kwa nini Watanzania wenzangu hawaoni kuwa ccm inawadanganya? hatimae kumekucha!
The dawning of a new era !!
 
Tarehe 31 October ni siku ya kupiga kura. Tusiache kwenda kupiga kura tukaanza kulalamika.

Hapo umenena, muhimu hapa ni kupiga kura. Nec imesema watabandika majina siku nane kabla ya siku ya Uchaguzi ili tuaangalie majina yetu kama yamo. Mdau hapa amesema kuwa kuna website ambayo ina majina ya wapiga Kura, Is tru? If it is basi atupe hiyo link. Nafikiri umefika wakati Watanzania tusema No kwa uongozi usioleta maendeleo yoyote. Tunahitaji mabadiliko, YES WE CAN! Lets vote like we have never voted before. IT is our right to vote.
 
Back
Top Bottom