1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 454
- 1,800
Jana kwa wale wanaoijua vizuri Simba watakuwa wameona kwenye jukwaa kuu kulikuwa na akina Kajuna, Juma Pinto na baadhi ya friends of Simba huku pembeni kukiwa na akina Asha Baraka, ile ni dalili kuwa kuna mambo wamekubaliana msimu ujao na akina jaribu tena ndio basi tena.
Wale akina Kajuna ss ndio wamepewa timu wamalizie mechi zilizobakia na kuhakikisha simba inashika nafasi ya pili, nawahakikishia simba atashika nafasi ya pili kwa sababu hao jamaa ni watu hatari sana, watapeleka moto kwenye kila mechi na mtashangaa kuona kwanini simba inafanya vizuri dakika za mwisho.Hao wakijiweka pembeni hata Mgunda mtamfukuza.
Ila tuna mechi ngumu sana, Kagera, Dodoma, Geita, KMC, JKT ni ngumu kumeza
Wale akina Kajuna ss ndio wamepewa timu wamalizie mechi zilizobakia na kuhakikisha simba inashika nafasi ya pili, nawahakikishia simba atashika nafasi ya pili kwa sababu hao jamaa ni watu hatari sana, watapeleka moto kwenye kila mechi na mtashangaa kuona kwanini simba inafanya vizuri dakika za mwisho.Hao wakijiweka pembeni hata Mgunda mtamfukuza.
Ila tuna mechi ngumu sana, Kagera, Dodoma, Geita, KMC, JKT ni ngumu kumeza