Nguvu kuu 7 alizonazo mwanamke

Nguvu kuu 7 alizonazo mwanamke

Nguvu kuu 7 alizonazo mwanamke

1. Uwezo wa kuona na kugundua ya mbeleni (ana uweza wa kuona kisichosemwa au kitakachokuja). Anatumia mlango wa sita wa fahamu unaoitwa EPS

2. Ana nguvu ktk kinywa chake kuliko nguvu za mwili kwa mwanaume. Athari za kutotumia kinywa chake vema ni kubwa zaidi.

3. Nguvu na uwezo wa kuendeleza uumbaji
4. Nguvu ya ushawishi
5. Nguvu na uwezo wa kustahimili. Kuvumilia. Kubeba mazito.
6. Nguvu na uwezo wa kujadili bei (bargaining power)
7. Uwezo wa kuwaathiri watoto (positively or negatively)

ILI NGUVU HII ITENDE KAZI
1. Tumia vema kinywa chako
2. Tumia vema ushawishi wako
3. Jitambue
Zote zaweza kuwa sawa ila namba moja hapana. Mwanamke hana permanent Memory yaani husahau haraka ndiyo maana wapo wamezalishwa watoto saba kila mtoto na baba yake. Kama memory wanayo wasingedanganywa kwa mbwembwe zile zile za kila siku.
Ila ni viumbe wazuri Hakika Mungu apewe sifa kwa ujio wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mna nguvu kiasi hicho tusinge wachezea hovyo na kuwazalisha unakuta Mwanamke anazalishwa na jamaa hana mbele wala nyuma Je hiyo nguvu ya kuona mbali inafanyakazi hapo
 
Back
Top Bottom