halati88
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 461
- 147
Kujiangalia sio jambo
baya,kinachopigwa marufuku ni ile tabia ya kupenda kujiangalia sehemu za
siri,iwe ni kwasababu maalumu tu sio unajikodolea wee!
Ni kweli kabisa kwa imani yangu mimi kujiangalia sehemu za siri bila sababu yoyote ni dhambi.