Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,105
- 828,992
Hivi ulishawahi kukaa uchi mbele ya kioo na ukajiangalia?
I mean kioo ambacho unajiona mwili mzima ?
Ushawahi kujiangalia mbele na nyuma ?
Body morphology zetu zinatisha zinachekesha mno !
ukijiangalia utajiona miguu yote kama ya kushoto vile au matege kama Peter Tino au kitambi kama mimba ya mbuzi ni vingi mno vinavyochekesha .
Hebu jaribu kujiangalia leo uone nguo zinavyoficha mengi
I mean kioo ambacho unajiona mwili mzima ?
Ushawahi kujiangalia mbele na nyuma ?
Body morphology zetu zinatisha zinachekesha mno !
ukijiangalia utajiona miguu yote kama ya kushoto vile au matege kama Peter Tino au kitambi kama mimba ya mbuzi ni vingi mno vinavyochekesha .
Hebu jaribu kujiangalia leo uone nguo zinavyoficha mengi