Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,152
- 10,862
Wazungu huwa wanichekesha sana mie!.
Utaona mtu tajiri sana kavaa nguo hata sh.200 haifiki.Akina mama ndio kabisa nguo ya kulalia ndio anatembea nayo sokoni.Hata wakiwa wake wa maraisi wanavaa nguo za kimaskini.
Wanaume wa kizungu wanavaa kaptula ambayo ni nguo sahihi ukienda kijisaidia ndani kwako.
Utaona mtu tajiri sana kavaa nguo hata sh.200 haifiki.Akina mama ndio kabisa nguo ya kulalia ndio anatembea nayo sokoni.Hata wakiwa wake wa maraisi wanavaa nguo za kimaskini.
Wanaume wa kizungu wanavaa kaptula ambayo ni nguo sahihi ukienda kijisaidia ndani kwako.