"Hii itakufaa? maana ndiyo pekee iliyobakia kabati", fikiria hivyo ndivyo mwandani wako anakuambia.
Sasa sijui hapo korodani zako zitapumulia wapi kama sio kujitakia utasa tu.
Yaani hata ukichunguza pande zote nne za mawazo, huyu jamaa hata sielewi kama anazo za kumtosha. Pia sielewi anataka apewe majibu gani ili yamsaidie nini.
"Hii itakufaa? maana ndiyo pekee iliyobakia kabati", fikiria hivyo ndivyo mwandani wako anakuambia.
Sasa sijui hapo korodani zako zitapumulia wapi kama sio kujitakia utasa tu.