ngumu kumesa

ngumu kumesa

musungu

Member
Joined
Oct 5, 2011
Posts
29
Reaction score
4
nimekuta mesage ya namna hii (habari dear, mzima weye na watoto wangu. Nimekumisijeee) . Hiyo ni meseji nimeikuta kwa mume wangu je nimese au naibiwa
 
Ungekuwa wewe ndo mwanaume....ningefikiri mke kamchakachua mume lakin kwa hapo inabidi uchunguze ni nani kama alivyosema The Boss.
 
Last edited by a moderator:
Achana nae,kakosa wa kuchart nae usiku..jilalie usipate stress
 
Ungejibu wazima,mimi mama yao.,wewe nani mwenzangu?


usikute ni mdogo wako kamtania shemeji yake lol

mmh hapo ndo atayafungulia majibu hayooooo hadi ashindwe kumesa vizuri
 
usitishike na neno dear. mim msg zote ninazopata kutoka kwa mabint lazima waniite baby. sweet. dear.mr handsome. husband etc lakin wote ni marafik wa kawaida tu na wala sina mpango nao.

ni marafik tu.
 
Mmmh.... Ndio maana huwa sina muda na simu ya mtu..!

Unaweza ukapata maradhi yasiyotibika kumbe wenzio wanataniana..!
 
nyumba ndogo ya mumeo mbwembwe aonekane anajali watoto kama vile wake.....just asking....
 
Mbona ni sms ya kawaida saana!! Presha ya nini hapo?
 
unatafuta nini kwenye simu ya mume wako? utapata stress bure.
 
Weee! Nyumba ndogo hyo shaulilo! Ukiona manyoya!..
 
ivi wanaoongea hivi "nimese'' akimaanisha ''nimeze'' ni wa wapi hawa?
 
usitishike na neno dear. mim msg zote ninazopata kutoka kwa mabint lazima waniite baby. sweet. dear.mr handsome. husband etc lakin wote ni marafik wa kawaida tu na wala sina mpango nao.

ni marafik tu.
mmmmmmmmmmmmh!!baby,sweetie,husband?
sijadanganyika bado thubuuutuuuu!!!!
 
nimekuta mesage ya namna hii (habari dear, mzima weye na watoto wangu. Nimekumisijeee) . Hiyo ni meseji nimeikuta kwa mume wangu je nimese au naibiwa

kweli dunia ni kigeugeu by fm academia..
 
Back
Top Bottom