dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
Kidem chake cha utani hicho!!!
usitishike na neno dear. mim msg zote ninazopata kutoka kwa mabint lazima waniite baby. sweet. dear.mr handsome. husband etc lakin wote ni marafik wa kawaida tu na wala sina mpango nao.
ni marafik tu.
Hii nimeipendamuibie million 50,halafu jiondokee