............. Jamani hii sio utani bali ni live bila chenga nimeshuhudia ugomvi wa watu kushikana na kutupiana ngumi kisa jamaa wa Simba kumuita mtani wake wa siku nyingi TWITE, jamaa wa Yanga analalamika ....... wewe utani umezidi yaani unaniita mimi TWITE kwani jina langu hulijui ....kuanzia leo sitaki utani na wewe... watu wanawaacha washikishane adabu