Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

Asee nimecheka,watu wana teknolojia ya ajabu.
 
Video ilikuwa maarufu kwakuwa si kawaida kwa mbwa kuweza kufanya kitendo kama kile... Tuliowahi kwenda maporini na misituni tunajua hili....
Kuna video clip moja ilisambaa sana, inaonesha mbwa akijinasua toka kwa chatu na kufanikiwa kuepa.
Ilo swala la kuishiwa nguvu halina ukweli kabisa
 
Kwakweli bado natafiti hili... Mbwa hata awe hodari vipi akishaliona lile dubwana huchanganyikiwa kabisa na kukosa ujasiri huku akijipeleka kuliwa bila utashi wake
Hata akiwa German Shepherd?
 
Sikuwahi kuwaza why mbwa akamatwe na chatu wakati chatu hawezi kukimbia, kumbe ndivyo ilivyo? Sawa mkuu nimekusoma umenitoa tongo tongo
 
Uliishuhudia au ulihisi

Hii ya harufu ya wali porini sio jambo la kuhadithiwa, mwenyewe imenikuta mara nyingi tukiwa msituni. Wengine wakadiriki kusema itakua majini yana sherehe hahahaha.

Tukirudi kwenye hoja ya mbwa, kuna wale ngiri sijui ndio nguruwe piri? Mbwa akisikia harufu yake anatafuta pa kujificha au anawakimbilia miguuni na kuwa mpole sana. Wale jamaa wakikatiza sehem anakata viumbe wengine utashangaa matumbo yanamwagika tu.

Yale meno yao hua yanakua na kutokeza nje, silaha matata sana ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…