A man with one idea
Senior Member
- Jul 18, 2022
- 126
- 264
PENZI KITOVU CHA UZEMBE
KISA CHA NGONSWE NA MAZOEA KWENYE SENSA
MITOMINGI: nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo.
MAMA MAZOEA: Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
MAZOEA: Hodi! Hodi!
NGOSWE: Karibu.
MAZOEA: (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
NGOSWE: Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
MAZOEA: Nimeambiwa nifanye haraka.
NGOSWE: Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
MAZOEA: Bee!?
NGOSWE: Salama?
MAZOEA: Salama tu.
NGOSWE: Sasa ndio umekataa kukaa?
MAZOEA: (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
NGOSWE: Bado kidogo.
MAZOEA: Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
NGOSWE: Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
MAZOEA: Mie?
NGOSWE: Ndio wewe hapo kisura.
MAZOEA: (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!
Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe!
JIANDAE KUHESABIWA.
KISA CHA NGONSWE NA MAZOEA KWENYE SENSA
MITOMINGI: nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo.
MAMA MAZOEA: Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
MAZOEA: Hodi! Hodi!
NGOSWE: Karibu.
MAZOEA: (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
NGOSWE: Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
MAZOEA: Nimeambiwa nifanye haraka.
NGOSWE: Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
MAZOEA: Bee!?
NGOSWE: Salama?
MAZOEA: Salama tu.
NGOSWE: Sasa ndio umekataa kukaa?
MAZOEA: (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
NGOSWE: Bado kidogo.
MAZOEA: Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
NGOSWE: Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
MAZOEA: Mie?
NGOSWE: Ndio wewe hapo kisura.
MAZOEA: (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!
Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe!
JIANDAE KUHESABIWA.