wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
*MITOMINGI*; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo
*MAMA_MAZOEA*; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
*MAZOEA*; Hodi! Hodi!
*NGOSWE*; Karibu
*MAZOEA*; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
*NGOSWE*; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
*MAZOEA*; Nimeambiwa nifanye haraka.
*NGOSWE*; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
*MAZOEA*; Bee?
*NGOSWE*; Salama?
*MAZOEA*; Salama tu.
*NGOSWE*; Sasa ndio umekataa kukaa?
*MAZOEA*; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
*NGOSWE*; Bado kidogo.
*MAZOEA*; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
*NGOSWE*; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
*MAZOEA*; Mie?
*NGOSWE*; Ndio wewe hapo kisura.
*MAZOEA*; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i
Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe! ! !
*MAMA_MAZOEA*; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
*MAZOEA*; Hodi! Hodi!
*NGOSWE*; Karibu
*MAZOEA*; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
*NGOSWE*; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
*MAZOEA*; Nimeambiwa nifanye haraka.
*NGOSWE*; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
*MAZOEA*; Bee?
*NGOSWE*; Salama?
*MAZOEA*; Salama tu.
*NGOSWE*; Sasa ndio umekataa kukaa?
*MAZOEA*; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
*NGOSWE*; Bado kidogo.
*MAZOEA*; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
*NGOSWE*; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
*MAZOEA*; Mie?
*NGOSWE*; Ndio wewe hapo kisura.
*MAZOEA*; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i
Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe! ! !