wapemwa wanajamii wenzangu,nimebahatika kupata nafasi ya kusoma shahida ya uzamili ktk fani ya biashara chuo kikuu cha DSM,ishu ni ada je naweza kufaham ni NGOs zip au Ubalozi gani naweza kuomba sponsorship
Mtafute Dismass Lyasa,kwenye Fb Chat Nae Inbox Atakuunganisha,au N Pm Nkupe Namba Zake