`Ni kweli matokeo ya kuwa ngo utitiri hayaonekani.
Lakini siyo sababu wana JF kuanza kulipiza hasira kwa individuals, kabla ya kutaja jina, fanya utafiti, unashushia hadhi forum yetu.
kama kuna mtu anafahamu ngo ambayo mahesabu yake hayaridhishi, ndiyo anahaki ya kusema.
HADHI YA FORUM INASHUKA KWA AJILI YA KUENDEKEZA MAJUNGU, NA MAAMUZI YA HASIRA DHIDI YA MTU AU KIKUNDI.
FACTS ZENYE TIJA KWA TAIFA NDIO ZINATUTOFAUTISHA NA MAGAZETI YA UDAKU.