Ngono mbaya!

Red-me

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
368
Reaction score
695
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
 
Wewe ulipatikanaje
 
Utakafu ni nini? Ni utakatifu gani ulionao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…