chamalee
Senior Member
- Jan 17, 2014
- 181
- 110
mtoto wa mjini wanaita MBICHI....
Mayombo..au kwa jina lingine watoto wa mjini wanaita kutembelea ringi
mtoto wa mjini wanaita MBICHI....
Mi sijawahi hata kutumia "Kondom" qui-qui-qui-
huwezi kula pipi na ganda lake.
hapo lengo kuu ni kuvunja amri ya sita kwa usalama zaidi.....
virusi vya UKIMWI vina tabia ya kujificha sana kama ulikuwa hujui..
usijiaminishe sana kwa kipimo kimoja.. kuna watu walishapima sehemu A wakakuta hawana! kwenda B wakakutwa positive
so wewe na mpenzi wako msije mkapimwa mara moja na kujipa credit kuwa mko salama!!!!
HIV/UKIMWI ni zaidi ya tuujuavyo!
walahi ungekuwa karibu ningekutia konzi
jamani kufanya mapenzi bila kondomu yaani kavu kuna utamu wake ukiwa fundi waweza kupiga hata bao 6 ndani ya kipindi kifupi!!!! USHAURI: Kama unataka kupata UTELEZI wa UKWELI tembelea ANGAZA wewe na mpenzi wako kasha anza kutyeleza kwa mwenzio ati! Asanteni
walahi ungekuwa karibu ningekutia konzi
jamani kufanya mapenzi bila kondomu yaani kavu kuna utamu wake ukiwa fundi waweza kupiga hata bao 6 ndani ya kipindi kifupi!!!! USHAURI: Kama unataka kupata UTELEZI wa UKWELI tembelea ANGAZA wewe na mpenzi wako kasha anza kutyeleza kwa mwenzio ati! Asanteni
mtoto wa mjini wanaita MBICHI....
haina haja nikutafuta mwenye papuchi kubwa halafu bao tu linatosha mengi utatoka njia kuu..
Vidudu vingekua vinaisha vikitumiwa kuna watu wangebaki na size ya kipele.