bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Nafikiri hapa muuzaji wa bidhaa ndiyo hayupo serious. Unapotangaza bidhaa weka all details. Mfano, unaposema "Ng'ombe bora wa maziwa" ingefaa utuambie ni breed gani? Wana umri gani? Bei gani kwa kila ng'ombe etc! Siyo utuache hapa bila taarifa na kulazimisha tuwasiliane kwa namba ya simu! Why dont you make it easy kwa potential customers? Na kwa kuwa umeamua kupost picha, basi weka picha yenye maelezo (breed, bei, etc)! Utueleze pia huko Rungwe mnapatikana wapi? Mwakaleli? Katusyo? Kimbira? Ushirika? Bulongwe? Kiwira?.....be specific ndugu. Asante