Wana JF, mimi ni mfugaji na ng'ombe wangu amezaa jana alifajiri lakini nikamkuta amekula sehemu ya mfuko wa uzazi, kwa ufahamu wangu naelewa hilo huleta matatizo katika uzalishaji wa maziwa. Kama una mawazo (idea) nifanye nini, naomba ushauri wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.