Naweza kupata wapi ng'ombe aina ya Fleckvieh, ambayo ni the second largest dairy breed in the world?

Iyo breed imeingia Kenya miaka ya 2008. Bado aijatapakaa apa Tanzania, nimetembelea Maonyesho ya nane nane apo Morogoro iyo breed aipo na hata wataaramu wote waliopo wa mifugo niliyokutana nao pale nane nane awana kabisa taarifa ya iyo Fleckvieh ng'ombe. Nimemulizia mtaaramu mmoja akaniambia eti Aysha ng'ombe, nikaona wengi bado awajaijua iyo breed, ila Nane nane ya Arusha Lazima atakuwepo, maana kule ni Karibu na Kenya, kwa iyo watu wanaweza wakawa washaipata
 
Iyo breed imeingia Kenya miaka ya 2008. Bado aijatapakaa apa Tanzania, nimetembelea Maonyesho ya nane nane apo Morogoro iyo breed aipo na hata wataaramu wote waliopo wa mifugo niliyokutana nao pale nane nane awana kabisa taarifa ya iyo Fleckvieh ng'ombe. Nimemulizia mtaaramu mmoja akaniambia eti Aysha ng'ombe, nikaona wengi bado awajaijua iyo breed, ila Nane nane ya Arusha Lazima atakuwepo, maana kule ni Karibu na Kenya, kwa iyo watu wanaweza wakawa washaipata
Hawa ng'ombe wanakubali sehemu za joto kama huko Kisarawe?
 
Mapema Feb nilipandisha ng,ombe wangu kwa Mbegu ya kawaida baada ya kusubiria hii iliyoko juu kutoka kenya, Kampuni inataka iuze mbegu nyingi kwa wakati mmoja sio mmoja mmoja. Vile vile nilijaribu kuulizia huku tz kwa Maofisa wa Animal,s Hearlth zikupata, Kwa hio ni ngumu kupata kwa Mfugaji mmoja.
mkuu..ulifanikiwa kuagiza hawa ngombe??
 
Wakuu kuna hawa Ng'ombe Aina ya Fleckvieh ambao ni Dual- purpose cow yaani wanafaa kwa ajili ya Maziwa na Nyama na wanatoa maziwa Mengi labda kuliko aina yoyote ile ya Ng'ombe.

Nilitaka kujua kama wanapatikana Bongo make hawa Ng'ombe ni kutoka katika highlands za upper Bavarian region nchini Germany na vilevile wanapatikana Switzerland na Austria,

Hawa Ng'ombe wana uwezo mkubwa kabisa wa utoaji maziwa,

UZAO WA KWANZA HUTOA LITA KATI YA 25-30 NA UZAO WA PILI NI KATI YA 30-35 HUKU UZAO WA TATU IKIFIKIA 35-40.
equinox-2011-e1315436985614.jpg




Paula.JPG
Kuna jamaa aliniambia wanapatikana sua
 
KENYA WANAPATIKANA SANA UZURI WAO SIO RAHISI KUSHAMBULIWA NA MAGONJWA ,NA HAWATUMII CHAKULA KINGI SANA GHARAMA NI KAMA KSH 250,OOO.WAKO VIZURI,KAMA UNA WAHITAJI WE NENDA KENYA BONGO UJANJA MWINGI
 
Mapema Feb nilipandisha ng,ombe wangu kwa Mbegu ya kawaida baada ya kusubiria hii iliyoko juu kutoka kenya, Kampuni inataka iuze mbegu nyingi kwa wakati mmoja sio mmoja mmoja. Vile vile nilijaribu kuulizia huku tz kwa Maofisa wa Animal,s Hearlth zikupata, Kwa hio ni ngumu kupata kwa Mfugaji mmoja.
Tafuta mawasiliano ya National Artificial Insermintation Centre (NAIC), ipo Usa-River, Arusha. Hawa mabwana watakujuza vizuri kuhusiana na Ng'ombe hiyo pamoja na Breeds nyingine nyingine nzuri kulingana na jeografia ya eneo utakalo fugia.

Utanishukuru baadae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom