Huyu hapa ng’ombe anayekamuliwa lita 45

KILIMO_MAGAZINE

New Member
Mar 27, 2022
3
3
TAZAMA MAAJABU YA NGOMBE AINA YA FRISHIAN F1 HII NI SABABU TOSHA YA KUFANYA UFUGE KILICHO BORA

Hawa ni ng'ombe wa mziwa aina ya frisian hapo tumepost f1 na f2 wanapatikana Uwezo wao wa kutoa maziwa ni unalingana na ubora wa vinasaba(genes) vyao. Frishiani F1 anauwezo wa kutoa lita 45 kwa ng'ombe mmoja kwa siku Frishiani F2 anauwezo wa kutoa lita 30-35 kwa siku Cross zingine za frieshiani zinatia lita 10, 15, 18, 20 hadi 25 kwa siku Ng’ombe aina ya freshiani ni rahisi kumtambua kutokana na kuwa na rangi nyeusi na nyeupe, na ni ng’ombe wenye uzalishaji bora wa maziwa.

Wanyama hawa ni wakubwa na pia wanaweza kuwa na mabaka meupe na meusi. Ikiwa watalishwa vizuri, freshian aliyefikia umri wa kukomaa huwa na uzito wa hadi kilogramu 550 na urefu wa sentimeta 150 kutoka begani. Mtamba huweza kupandwa, akiwa na umri wa mwaka mmoja na miezi mitano huku akiwa na uzito wa kilogramu 360. Wakati baadhi ya ng’ombe wakiwa na uwezo wa kuishi kwa muda mrefu, uwezo wa kawaida wa kuishi kwa Freshiani ni miaka sita.

Hata hivyo, aina hii ya ng’ombe ni wazalishaji wazuri wa maziwa ambao huweza kuzalisha kilogramu 7800 kwa wastani kwa muda wa siku 360 yakiwa na kiwango cha chini cha mafuta ikilinganishwa na aina nyingine ya ng’ombe. Aidha, aina hii ya ng’ombe huhitaji ulishaji mkubwa hivyo hushauriwa kwa wafugaji wenye uhakika wa kuwa na lishe bora na ya kutosha kwa mwaka mzima

(1) Tunao mitamba ambao awajapandwa ila waweza pandwa mda wowote bei ni kuanzia Tsh 1800000 adi 2000000 inategemea na mtamba wenyewe
(2) Pia mtamba mwenye mimba kuanzia miezi mitatu (3) adi miezi sita (6) ni Tsh2000000 adi 2500000

(3) PIA tunao ng'ombe walio zaa mara moja mara mbili na mara tatu ambao wanakamuliwa maziwa kuanizia liter 16 adi 22 inategemea na ng'ombe mwenyewe bei zao ni kuanizia Tsh 2300000 adi 2600000

(4) Na pia kwa wale wanao itaji ndama madume pamoja na majike wanapatikana kuanzia umri wa miezi minne adi sita kwa bei kuanzia Tsh 750000 adi 850000

KARIBU SANA UPATE NG'OMBE WAZURI KWA UZALISHAJI

wasiliana nasi kwa simu namba
0765849849
FB_IMG_1675505688754.jpg
FB_IMG_1674932937212.jpg
FB_IMG_1674932939810.jpg
FB_IMG_1674719751978.jpg
FB_IMG_1674719586554.jpg
1674681590232.jpg
FB_IMG_1674719566893.jpg
 
Hao wekundu nao ni kama weusi au

Nitajuaje kama ni mbegu ambayo sio cross breed
Nataka nianze ufugaji kwa ajili ya nyama
Weka madume tuyaone pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom