Kwani jioni mbali?Tutawajua basi nyie CUF!CCM,CCM,nakereka kweli kuiita Yanga CCM,mbona basi huyo Rage wenu hamumfukuzi,si ni CCM,tena yuko tayari kufanya lolote kwa ajili ya CCM,si mnakumbuka kule Igunga alivyotinga na mguu wa kuku kwenye kampeni za CCM!Mbona hata siku moja sijawahi kumuona Uwanja wa TAIFA akiwa na hiyo silaha,it means anaipenda sana CCM (Yanga) kuliko Simba!