Wanaoiba kura ni tume au CCM?!
Tuliambiwa Mwakyembe hatakiwi huko, hii 50 kaipata wapi?!
Zitto na Kabourou, Fubusa na Serukamba. Nampa Fubusa 60%, Zitto nafasi ya kurudi bungeni ni finyu sana.
Wema Sepetu so ndio alisema anarudi Singida kupambana na Lissu? Pengine slimaanisha kupiga kampeni,kama ni hivyo Lissu alindwe sana asije kaa faragha na huyo kwani tusije shangaa Lissu anatabgaza kujitoa baada ya wao kukaa faragha. He he helissu anapambana na nani upande wa ccm ? wakuu anyejua.atuwekee hapa. pia kamanda sugu tafadhali...
Tuliambiwa Mwakyembe hatakiwi huko, hii 50 kaipata wapi?!
Hapo Kahama Lembeli hana ubavu wa kushindana na Kishimba, labda miujiza na upepo wa mabadiliko vinaweza kumsaidia angalau kufikisha 30% huku nyingine zilizobaki zikichukuliwa na yule mfuasi wa Zito (Bobson)
ukisema ni 50-50 utakuwa hauko sahihi , uchunguzi wangu unaonyesha kwamba ABRAHAM MWANYAMAKI yuko juu sana , atashinda kwa zaidi ya 70% , ahadi za UONGO za 2010 zimemponza vibaya sana ! na kuna ushahidi kwamba alitoa ahadi akijua kabisa ni uongo .Kyela Mwanasheria Harrison Mwakyembe wa CCM vs Mhasibu Abraham Mwanyamaki wa UKAWA
PATACHIMBIKA na wapo 50-50 yyt akipiga kampeni vyema anashinda
majimbo yote ya arusha yanaenda cdm
ni bahati mbaya sana kwamba zitto hawezi kuwa mbunge tena , usaliti ni laana mbaya sana .Zitto anarudi tena kwa kishindo,Dr Walid Kaboulou aliposhindwa ubunge 2005 aliwakejeli sana wananchi wa kigoma,hivyo bado wanakumbuka matusi yake vizuri