Hahahahahahaaaaa lakin si uki click unapata kitu ilolengwa mkuu au unapata mashairi kama ulivyosema
Hahahaabasi vumilia tuu mkuu ndo mziki unakua hvo japo kwa kurudi nyuma
Kama ni official inabidi ajipangeni official mkuu
Nyimbo kali huyu dogo kashamfunika Harmo, congratulation kwakeimenigomea hamna mwingne mwenyenayo anisaidie make imeshasambaa sana
Wewee km hujui hata Salome kuna mchango wake mkubwa sana mule Dogo ndio kichwa cha WCBKapuyanga ngoma sio nzuri huyu kijana huenda zile ngoma mbili aliotea!
Kwa level zake, hiyo nyimbo kachemkaNaona kama kachemsha hivi kwa hii au nyie wadau mnasemaji mnaielewa au hamuielewe kama nisivyoielewa
hata hamna chuki mkuu, mie ni shabiki ake sana ila nmeona imekua uploaded jana ktk blog moja hv na wanaeleza ni mpya nkashangaa pia mbona anarudi nyumaNyimbo ya kitambo,naona watu mnakoment kaa chuki,nyimbo haiitwi furaha inaitwa upo mwenyewe,alitoa akiwa Tip Top,ACHENI CHUKI.