Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya THE AFRICAN PRINCES Nandy, ameweka wazi kutafutwa na msanii wa RnB kutoka nchini Marekani Usher Raymond kwa ajili ya Remix ya wimbo wake wa Dah ambao awali alimshirikisha Msanii Alikiba.
Nandy ameshare chat zake na Usher akimuomba aweke Verse.
Nini maoni yako?
Nandy ameshare chat zake na Usher akimuomba aweke Verse.
Nini maoni yako?