Ngolo Kante afunga ndoa huko Bamako, Mali

Ngolo Kante afunga ndoa huko Bamako, Mali

Kuna huyu na Sadio Mane huwa wanaishi tofauti na wachezaji wengine, Mane akiwa Liverpool aliwahi kupigwa picha ikionesha simu yake ina cracks kibao kwenye screen, naye hakutaka mambo mengi akaamua kuoa zake binti mbichi toka kijijini kwao huko
Sasa jiulize kwanini hakuoa wanawake wenye exposure kama wewe. Kwa ndani kabisa huwa mnamuelewa Natafuta Ajira ila huwa mnamponda basi.
 
Sasa jiulize kwanini hakuoa wanawake wenye exposure kama wewe. Kwa ndani kabisa huwa mnamuelewa Natafuta Ajira ila huwa mnamponda basi.
Mimi sina shida na mwanaume kuoa mwanamke bikira ila shida je huyo mwanaume naye background yake kwenye mahusiano ikoje, mtu kama Sadio anaonekana kabisa hana mambo ya kuwa na wanawake wengi ndio maana naye hakutaka kuwa na mwanamke wa hivyo and that is fine, ningemshangaa mtu kama Ronaldo kutaka kuoa mwanamke bikira maana yeye mwenyewe ni player na analijua hilo ndio maana kachukua zake mwanamke mwenye exposure na mambo mengi kama yeye, shida ya hao ndugu zako wao wanalazimisha kwamba mwanaume hawi judged na past yake kwenye mahusiano lakini kiuhalisia ukija kuangalia, utaona huwezi kupata wanawake waliojitunza kwenye jamii ambayo hata wanaume hawajajitunza vinginevyo mtuambie hao wanaume wanafanya na kina nani
 
Huwezi amini huyo jamaa ni millionaire ila mambo yake sasa,..utakuta hata nguo anaendaga kudaka karume za aftatu3
 
Mimi sina shida na mwanaume kuoa mwanamke bikira ila shida je huyo mwanaume naye background yake kwenye mahusiano ikoje, mtu kama Sadio anaonekana kabisa hana mambo ya kuwa na wanawake wengi ndio maana naye hakutaka kuwa na mwanamke wa hivyo and that is fine, ningemshangaa mtu kama Ronaldo kutaka kuoa mwanamke bikira maana yeye mwenyewe ni player na analijua hilo ndio maana kachukua zake mwanamke mwenye exposure na mambo mengi kama yeye, shida ya hao ndugu zako wao wanalazimisha kwamba mwanaume hawi judged na past yake kwenye mahusiano lakini kiuhalisia ukija kuangalia, utaona huwezi kupata wanawake waliojitunza kwenye jamii ambayo hata wanaume hawajajitunza vinginevyo mtuambie hao wanaume wanafanya na kina nani
KIla siku tunakuambia linapokuja suala la kuoa/kuolewa vigezo vinavyomuhukumu mwanaume ni tofauti kabisa na vinavyomuhuku mwanamke.

Mwanaume anahukumiwa kutokana na hali yake kiuchumi, haijalishi past yake ilikuaje (labda kama alikua shoga ndio inaweza kuwa tatizo).

Mwanamke anahukumiwa kutokana na purity yake, hata kama ana uwezo kiuchumi past yake ikiwa chafu inamchafulia CV kwenye suala la kuolewa.

Mwanamke atunze bikira yake, ukikubali kuchezewa huo ni ujinga wako. Mwanaume atafute kibunda, akionga na kutapanya hela na kuishia kuwa masikini huo ni ujinga wake. Wakati wa kuoa/kuolewa ukifika kila mmoja atahukumu kivyake bila visingizio vya kurusha lawama kwa jinsia nyingine
 
KIla siku tunakuambia linapokuja suala la kuoa/kuolewa vigezo vinavyomuhukumu mwanaume ni tofauti kabisa na vinavyomuhuku mwanamke.

Mwanaume anahukumiwa kutokana na hali yake kiuchumi, haijalishi past yake ilikuaje (labda kama alikua shoga ndio inaweza kuwa tatizo).

Mwanamke anahukumiwa kutokana na purity yake, hata kama ana uwezo kiuchumi past yake ikiwa chafu inamchafulia CV kwenye suala la kuolewa.

Mwanamke atunze bikira yake, ukikubali kuchezewa huo ni ujinga wako. Mwanaume atafute kibunda, akionga na kutapanya hela na kuishia kuwa masikini huo ni ujinga wake. Wakati wa kuoa/kuolewa ukifika kila mmoja atahukumu kivyake bila visingizio vya kurusha lawama kwa jinsia nyingine
Wewe kila siku huwa nakuambia tatizo siyo jamii inaamini vipi, bali je hiyo jamii inachoamini ni sahihi siyo kila kitu jamii inachoamini ni sahihi, wakati mwingine jaribu kutumia logic ya kawaida ndio maana ukaenda shule au ulienda huko kukuwa tu

Hata suala la ukeketaji wa wanawake kwa miaka mingi jamii za kiafrika ziliamini ni sahihi, tena mwanamke ambaye hajakeketwa alikuwa haolewi lakini baada ya kuanza kuelimika, ndio ikajulikana kumbe kukeketwa hakukuwa na faida yoyote kwa wanawake wenyewe bali kwa waume zao au unabisha

Sasa ndio nauliza wanawake wote wakisema wajitunze wanaume watafanya na kina nani, hebu nijibu hili swali na kama watakosa wa kufanya nao sasa huoni kama hapo nao watakuwa wanajitunza, na je wanaume wataweza kuvumilia wanawake kujitunza hadi ndoa
 
Wewe kila siku huwa nakuambia tatizo siyo jamii inaamini vipi, bali je hiyo jamii inachoamini ni sahihi siyo kila kitu jamii inachoamini ni sahihi, wakati mwingine jaribu kutumia logic ya kawaida ndio maana ukaenda shule au ulienda huko kukuwa tu

Hata suala la ukeketaji wa wanawake kwa miaka mingi jamii za kiafrika ziliamini ni sahihi, tena mwanamke ambaye hajakeketwa alikuwa haolewi lakini baada ya kuanza kuelimika, ndio ikajulikana kumbe kukeketwa hakukuwa na faida yoyote kwa wanawake wenyewe bali kwa waume zao au unabisha

Sasa ndio nauliza wanawake wote wakisema wajitunze wanaume watafanya na kina nani, hebu nijibu hili swali na kama watakosa wa kufanya nao sasa huoni kama hapo nao watakuwa wanajitunza, na je wanaume wataweza kuvumilia wanawake kujitunza hadi ndoa
Jamii haiwezi kuwa sawa. Miangaiko ya kidunia ndio inazaliwa uongo, ulaghai, utapeli n.k mwisho wa siku kila mtu atahukukiwa kwa maamuzi yake. Uwe mwanaume au mwanamke kama umeitumia past yako vibaya wewe ndio utakua muanga wa consequencies za maamuzi yako
 
Mchezaji asiyechukiwa, aliyepita vilabu kama Leicester City, Chelsea, na sasa anakipiga uarabuni Ngolo Kante amefunga ndoa baada ya kuachana na mwanamke wake wa awali.

Ndoa ya Ngolo Kante ni ndoa simpo sana ambayo haikuwa na makuu.

Kwa msiofahamu, Ngolo Kante analipwa Dola za Marekani 520,000/= kwa wiki ambazo ni sawa na Bilioni Moja, Milioni Mia tatu na Laki Tisa na ushee.

Una lipi na kujifunza?View attachment 3276495
Wow
 
Wewe kila siku huwa nakuambia tatizo siyo jamii inaamini vipi, bali je hiyo jamii inachoamini ni sahihi siyo kila kitu jamii inachoamini ni sahihi, wakati mwingine jaribu kutumia logic ya kawaida ndio maana ukaenda shule au ulienda huko kukuwa tu

Hata suala la ukeketaji wa wanawake kwa miaka mingi jamii za kiafrika ziliamini ni sahihi, tena mwanamke ambaye hajakeketwa alikuwa haolewi lakini baada ya kuanza kuelimika, ndio ikajulikana kumbe kukeketwa hakukuwa na faida yoyote kwa wanawake wenyewe bali kwa waume zao au unabisha

Sasa ndio nauliza wanawake wote wakisema wajitunze wanaume watafanya na kina nani, hebu nijibu hili swali na kama watakosa wa kufanya nao sasa huoni kama hapo nao watakuwa wanajitunza, na je wanaume wataweza kuvumilia wanawake kujitunza hadi ndoa
Hahahaha, nimekuelewa
 
Jamii haiwezi kuwa sawa. Miangaiko ya kidunia ndio inazaliwa uongo, ulaghai, utapeli n.k mwisho wa siku kila mtu atahukukiwa kwa maamuzi yake. Uwe mwanaume au mwanamke kama umeitumia past yako vibaya wewe ndio utakua muanga wa consequencies za maamuzi yako
Dooh naona hilo swali langu bado unakwepa kulijibu, anyway nakubali wanaume na wanawake hawawezi kuwa sawa wako tofauti, ila msilazimishe huo utofauti kwenye kila angle kuna mambo tuko tofauti na kuna mambo tuko sawa

Katika angle ya ngono na mahusiano mwanaume na mwanamke ni kitu kimoja, ni kama pande mbili za shilingi jamii inachokosea ni kuzihukumu tofauti hizi jinsia mbili, katika tendo la aina moja ambalo linahusisha jinsia zote kwa pamoja

Hata hivyo mnasema mwanaume anakuwa judged kutokana na uchumi lakini kila siku tunashuhudia wanaume masikini, wanapata wanawake na wanaoa kwahiyo kama ambavyo wanaume masikini hawakosi wanawake wa kuoa na hakuna anayelaumu, vivyo hivyo wanawake wasiojitunza nao hawawezi kukosa wanaume wa kuolewa nao kwahiyo nanyi msilaumu
 
Dooh naona hilo swali langu bado unakwepa kulijibu, anyway nakubali wanaume na wanawake hawawezi kuwa sawa wako tofauti, ila msilazimishe huo utofauti kwenye kila angle kuna mambo tuko tofauti na kuna mambo tuko sawa

Katika angle ya ngono na mahusiano mwanaume na mwanamke ni kitu kimoja, ni kama pande mbili za shilingi jamii inachokosea ni kuzihukumu tofauti hizi jinsia mbili, katika tendo la aina moja ambalo linahusisha jinsia zote kwa pamoja

Hata hivyo mnasema mwanaume anakuwa judged kutokana na uchumi lakini kila siku tunashuhudia wanaume masikini, wanapata wanawake na wanaoa kwahiyo kama ambavyo wanaume masikini hawakosi wanawake wa kuoa na hakuna anayelaumu, vivyo hivyo wanawake wasiojitunza nao hawawezi kukosa wanaume wa kuolewa nao kwahiyo nanyi msilaumu
MImi sijaangalia kigezo cha hela na bikira kwenye suala la ngono, nimeangalia kwenye suala la kuoa/kuolewa. Kwenye ngono ni sawa wote wana hisia lakini kwenye ndoa watahukumiwa tofauti.

Tatizo la wanawake wapo ruthless kwenye kumukumu mwanaume kwankigezo cha hela, lakini wao wakihukumiwa ruthless hivyo hivyo kwenye kigezo cha bikira ndipo vinaibuka visingizio kama vyako.

Unaposingizia sex inafanywa na pande zpte mbili kwani wanawake wanapotuhukumu wanaume kwa kigezo cha hela izo hela wao wamekatazwa kuzitafuta?
 
MImi sijaangalia kigezo cha hela na bikira kwenye suala la ngono, nimeangalia kwenye suala la kuoa/kuolewa. Kwenye ngono ni sawa wote wana hisia lakini kwenye ndoa watahukumiwa tofauti.

Tatizo la wanawake wapo ruthless kwenye kumukumu mwanaume kwankigezo cha hela, lakini wao wakihukumiwa ruthless hivyo hivyo kwenye kigezo cha bikira ndipo vinaibuka visingizio kama vyako.

Unaposingizia sex inafanywa na pande zpte mbili kwani wanawake wanapotuhukumu wanaume kwa kigezo cha hela izo hela wao wamekatazwa kuzitafuta?
Oohh kwahiyo kumbe ninyi lengo la kuwahukumu wanawake kwenye ngono, ni kwa sababu tu wao wanawahukumu kwenye pesa kwahiyo matokeo yake badala ya kutumia logic, mnatumia mihemko kuwahukumu hata kwa mambo ambayo hayana uhalisia

Kuhusu wanaume kuwa judged kwenye uchumi haihusiani na masuala ya ngono huo ni mgawanyo wa majukumu tu, sababu mwanaume ndio sole provider wa familia ni kama vile wanawake wanavyokuwa judged kwenye uwezo wao wa kufanya kazi za nyumbani, mbona wanaume hamuwi judged kwa hayo kwani ninyi hamuwezi kuzifanya hizo kazi

Yani mkitaka wanawake nao waanze kuwa judged kwenye masuala ya uchumi, maana yake itabidi wanaume nao waanze kuwa judged kwenye masuala ya kazi za nyumbani, kwamba mwanaume ukitaka kuoa hakikisha unaweza na uko tayari kufanya hizo kazi hapo vipi

Sasa hapo huoni kama ni wewe ndiye uliyekosea kulinganisha hivyo vitu, ulitakiwa ulinganishe majukumu kwa majukumu na siyo majukumu kwa tabia hivyo ni vitu viwili tofauti, na unapolinganisha unatakiwa ulinganishe vitu ambavyo havihusishi jinsia zote kwa pamoja

Halafu nimekuambia kama wanawake wangekuwa wanawajudge harshly wanaume masikini basi tusingeona wanaume masikini wakioa, mbona tunawaona kila siku wanapata wanawake na wanaoa na ndoa zinadumu tena wengine wanazeeka na kufa na umasikini wao, kwahiyo kama ambavyo wanaume masikini hawakosi wanawake wa kuoa basi hata wanawake wasiojitunza nao hawawezi kukosa wanaume wa kuolewa nao sijui kama unanielewa
 
Mchezaji asiyechukiwa, aliyepita vilabu kama Leicester City, Chelsea, na sasa anakipiga uarabuni Ngolo Kante amefunga ndoa baada ya kuachana na mwanamke wake wa awali.

Ndoa ya Ngolo Kante ni ndoa simpo sana ambayo haikuwa na makuu.

Kwa msiofahamu, Ngolo Kante analipwa Dola za Marekani 520,000/= kwa wiki ambazo ni sawa na Bilioni Moja, Milioni Mia tatu na Laki Tisa na ushee.

Una lipi na kujifunza?View attachment 3276495
Dah

Mwamba zinja sana aisee

Hadi Leo anakula mikomao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom