Hakuna chombo kinaweza kutoka duniani kikaathiri jua hata nukta moja
Ili kisiungue wanakipeleka usikuHakuna chombo kinaweza kutoka duniani kikaathiri jua hata nukta moja
Sent using Jamii Forums mobile app



nani kakwambia usku jua haliwaki...jua halijawahi kuzima linawaka muda wote
Soma Mwanzo 1:1- 5Hivi haiwezekani kutengeneza kifaa ambacho ukikiwasha tu kinaleta giza?
Kama vile taa ukiiwasha si inaondoa giza unaleta mwanga!!!
Yaani ikiwa saa sita mchana unataka zako kulala mf...unakiwasha tu kinaondoa mwanga wote panabaki na giza totoro,ukikizima mwanga unarudi.
Yaani kwa kifupi hakuwezi kuwa na taa inayowaka mwanga mweusi(ingawa weusi siyo mwanga)...ila hapa nadhani itaeleweka zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu giza ni constant, yaani huwezi kuumba giza bali mwanga, na giza hupunguzwa na mwangaHivi haiwezekani kutengeneza kifaa ambacho ukikiwasha tu kinaleta giza?
Kama vile taa ukiiwasha si inaondoa giza unaleta mwanga!!!
Yaani ikiwa saa sita mchana unataka zako kulala mf...unakiwasha tu kinaondoa mwanga wote panabaki na giza totoro,ukikizima mwanga unarudi.
Yaani kwa kifupi hakuwezi kuwa na taa inayowaka mwanga mweusi(ingawa weusi siyo mwanga)...ila hapa nadhani itaeleweka zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaMkuu umefikiria nje ya box, ni swali na swala fikirishi. Ngoja niingie maabara nitakuja na chombo cha kutengeneza giza ili muwe mnafanya ngono kiurahisi
Nahisi ulikuwa SUMBUWANGA shule ya msingiMkuu umenikumbusha nikiwa shule hii mada yako kuna mdau aliwahi kuileta darasani. Au ni wewe umeamua kuileta hapa jfilikua mwaka 2007 huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe muongo,usiku jua haliwakinani kakwambia usku jua haliwaki...jua halijawahi kuzima linawaka muda wote
Sent using Jamii Forums mobile app