Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Hodi mji huu, heshima zenu wakuu. Naomba nami nipate uraia hapa ndani. Naahidi kuwa mwaminifu kama jina langu lilivyo.
Mwe!usiku wote huu subiri nivae helmet
Ni nani wewe unafata nini saa nane za usiku unafata nini saa nane za usikuuuu? Abby fungua mlango nikwambie mwenzako Abby fungua mlango nikwambie mwenzakoooo!! Ngo ngo ngo ni nani wewe?
Mmh! Asa unakujaje usiku ?
Shuka yenyewe moja tu! Inayotosha, iliyobaki inaishia ugokoni , sasa tuchangie hii moja? Au nikupe hiyo njiwa ?
karibu Mwamy
Thanks mkuu. Humu ndani nani mkuu wa kaya? Nataka nikaripoti
Mimi...!
Umesahau kama period ulishamaliza muda wako!
MIMI ndiyo niko madarakani.
Sawa Mstaafu ? Mtoa mada mi ndo NIKO JUU YAO !
Kariiiiiibu
Mimi...!
Mimi...!
ha ha ha haaa unaogopa brain concussion?
Hey mwamy..