Lakuchumpa
Member
- Mar 28, 2012
- 73
- 13
Hivi kweli inaingia katika akili ya wtz
Tanesco wanapodai kua mgao wa umeme utaanza upya?
Tumeme ulipanda bei Tanesco wakidai ghalama za uendeshaji zimepanda
Inakuaje sasa wanashindwa kuyalipa makampuni kama IPTL n.k?
Tunakoelekea na serikali yetu sio tukilegea wanaifanya nchi kama yao pekee
Kwanin serikalio isiruhusu makampuni mengine yakacompete na TANESCO katka kuzalisha na kusambaza umeme kwa wateja?
Secta ya mawasiliano imeboleswa kwasababu kuna ushindani katika utoaji huduma hiyo.
Tanesco wanapodai kua mgao wa umeme utaanza upya?
Tumeme ulipanda bei Tanesco wakidai ghalama za uendeshaji zimepanda
Inakuaje sasa wanashindwa kuyalipa makampuni kama IPTL n.k?
Tunakoelekea na serikali yetu sio tukilegea wanaifanya nchi kama yao pekee
Kwanin serikalio isiruhusu makampuni mengine yakacompete na TANESCO katka kuzalisha na kusambaza umeme kwa wateja?
Secta ya mawasiliano imeboleswa kwasababu kuna ushindani katika utoaji huduma hiyo.