Ngeli ngumu aisee!!!

Ngeli ngumu aisee!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
ngeli.jpg
 
Alishindwa nini kuandika lugha anayoijua huo ndo ulimbukeni na watu kama hawa wapo sana.
 
Ukimkuta barabarani kashika smartphone yake unaweza ukajua ni mtu wa maana.
 
lugha ya malkia yataka moyo ndio yale yale ya viongozi wetu ya am married to three children
 
wewe subiri bunge la katiba lianze utacheka ufeee
 
Msukuma alikutana na Mhispania asiyejua Kiswahili wala Kiingereza kaja kujifunza kucheza ngoma za Kisukuma ndani ya Bujora, Msukuma akasema "Mhola?", Mhispania kusikia hivyo akafikiri Msukuma kaongea Kihispania kasema "Hola" akamjibu "Hola".

Wote wakawa wamekamilisha salamu, Msukuma kaongea Kisukuma (Mhola? = Salama?) na Mhispania kasema Kihispania (Hola = Hello)

Penye nia pana njia.

Bora kujaribu ukashindwa watu wanaweza kujua umeshindwa wapi, kuliko kutojaribu kabisa.
 
Ndio div 5 zenyewe hizo. Hio 'UNpossible' kiboko!
 
Ndio div 5 zenyewe hizo. Hio 'UNpossible' kiboko!

To be fair, English is mostly a smorgasbord of a potpourri of disparate and illogically disjointed Indo-European linguistic constructs.
 
To be fair, English is mostly a smorgasbord of a potpourri of disparate and disjointed Indo-European illogical constructs.

Kiranga, unaweza kuandika kwa Kiswahili? Mie niliacha form 2, sijafikia level hio!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom