COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
"Ndugu zangu Watanzania baada ya kuwashuhudia kwa wiki kadhaa mawaziri wakiwasilisha bajeti zao na kukumbwa na changamoto nyingi kutoka kwa wabunge hasa wale wa upinzani, ijumaa hii ni zamu ya Ngeleja, anawasilisha bajeti kwa wabunge huku wengi wao wakiwa tayari wameapa kumtoa jasho bila kujali itikadi za vyama vyao. Macho na masikio yote ni kwa NGELEJAAAA!