Ngeleja azua kizaa zaa Mwanza

nyangasese

Senior Member
Aug 21, 2011
129
22
Jeuri ya pesa na kufuru ya matumizi makubwa ya mabiloni ya fedha anayotumia waziri huyu yameleta taharuki kubwa hapa Mwanza.
Kwanza jengo la magholofa mawili yaliyoungana lilopo ktk kiwanja namba7 kitalu o barabara ya Rufiji, linaweza kuwa moja kati ya majengo 5 ya thamani ktk jiji.

Pili amenunua nyumba3 karibu najengo hilo kwa sh mil 400 kila nyumba sasa anafanya maongezi na wamiliki wengine wa nyumba nyingine3 ktk mtaa wa pili unguja ili anunue na kuvunja nyumba zote6 ili kupata parking.

Ktk mtaa huo amekwaa kisiki baada ya nyumba moja ya watoto yatima kuinunua kinyemela kwa sh mil 60 kuamuliwa na mahakama kuirejesha. Hayo yote anayafanya kupitia kwa diwani mmoja wa CCM wilayani Sengerema ambaye ni mvuvi
 
Jeuri ya pesa na kufuru ya matumizi makubwa ya mabiloni ya fedha anayotumia waziri huyu yameleta taharuki kubwa hapa Mwanza.
Kwanza jengo la magholofa mawili yaliyoungana lilopo ktk kiwanja namba7 kitalu o barabara ya Rufiji,linaweza kuwa moja kati ya majengo 5 ya thamani ktk jiji.pili amenunua nyumba3 karibu najengo hilo kwa sh mil 400 kila nyumba sasa anafanya maongezi na wamiliki wengine wa nyumba nyingine3 ktk mtaa wa pili unguja ili anunue na kuvunja nyumba zote6 ili kupata parking.ktk mtaa huo amekwaa kisiki baada ya nyumba moja ya watoto yatima kuinunua kinyemela kwa sh mil 60 kuamuliwa na mahakama kuirejesha.Hayo
yote anayafanya kupitia kwa
diwani mmoja waccm wilayani sengerema ambaye ni mvuvi


Duh wavuvi wana hela siku hizi. Lakini nasikia sangara zimeisha ziwani!
 
Vitega uchumi vya serikali hivyo.. acha presha wewe.. kama iliwezekana kwa wahindi na wazungu miaka ya 60 kupitia azimio la arusha itashindikanaje kwa watu weusi miaka ya 2015/2020
 
Vitega uchumi vya serikali hivyo.. acha presha wewe.. kama iliwezekana kwa wahindi na wazungu miaka ya 60 kupitia azimio la arusha itashindikanaje kwa watu weusi miaka ya 2015/2020

Well said mkuu itakuwa mali ya serikali hapo baadae.
 
Jeuri ya pesa na kufuru ya matumizi makubwa ya mabiloni ya fedha anayotumia waziri huyu yameleta taharuki kubwa hapa Mwanza.
Kwanza jengo la magholofa mawili yaliyoungana lilopo ktk kiwanja namba7 kitalu o barabara ya Rufiji, linaweza kuwa moja kati ya majengo 5 ya thamani ktk jiji.

Pili amenunua nyumba3 karibu najengo hilo kwa sh mil 400 kila nyumba sasa anafanya maongezi na wamiliki wengine wa nyumba nyingine3 ktk mtaa wa pili unguja ili anunue na kuvunja nyumba zote6 ili kupata parking.

Ktk mtaa huo amekwaa kisiki baada ya nyumba moja ya watoto yatima kuinunua kinyemela kwa sh mil 60 kuamuliwa na mahakama kuirejesha. Hayo
yote anayafanya kupitia kwa diwani mmoja wa CCM wilayani Sengerema ambaye ni mvuvi


january makamba rais wangu 2015, naomba usiache vita dhidi ya huyu mdudu kwani lengo lake ni unyamaze. amchafue dadako, akuchafue wewe na barua pepe feki lakini siku yake itakuja ukishakuwa rais ataima nchi kama binamu yake Lau Masha. usinyamaze ukatuacha gizani na huyu mtu akaendelea kutumaliza kiasi hiki
 
Poleni Watanzania kwa kuibiwa keki yenu na mafisa wachache
 
C = chukua
c = chako
m = mapema

bado kuna la kushangaa hapo acha wagawiane vya mwisho kabla hatujavichukua kwa nguvu ya umma.
 
Nchi inaliwa na wenye meno!

na inajengwa na wenye moyo, waoga na mazuzu wa kudai haki zoa. mwa cheni kijana ajilimbikizia bwana, sisi watz si tumelala fofofoo? piga bingo ngeleja wangu,ikiwezekana nunua mwanza yote
 
january makamba rais wangu 2015, naomba usiache vita dhidi ya huyu mdudu kwani lengo lake ni unyamaze. amchafue dadako, akuchafue wewe na barua pepe feki lakini siku yake itakuja ukishakuwa rais ataima nchi kama binamu yake Lau Masha. usinyamaze ukatuacha gizani na huyu mtu akaendelea kutumaliza kiasi hiki

hahaha..very funny,kwan hawa wawili wana ugomvi.?mi ninachojua wote ni 'WACHAFU',hakuna mwenye hadhi ya kuwa Tz PREZIDAA,labda hiyo 2015 huyo JANUARY atapewa UKUU WA MKOA WA DSM na DR.SLAA,lyk a baba lyk a son.......
 
Pinda mwenyewe alikiri kujenga guest huko katavi sasa wategemea nini kwa mawaziri wake?kwa nini wasijenge viwanda watanzania wengi wapate ajira na mzunguko wa pesa utakuepo?
 
january makamba rais wangu 2015, naomba usiache vita dhidi ya huyu mdudu kwani lengo lake ni unyamaze. amchafue dadako, akuchafue wewe na barua pepe feki lakini siku yake itakuja ukishakuwa rais ataima nchi kama binamu yake Lau Masha. usinyamaze ukatuacha gizani na huyu mtu akaendelea kutumaliza kiasi hiki
Unaota eeh! Endelea kuota hvyohvyo
 
Poleni Watanzania kwa kuibiwa keki yenu na mafisa wachache
Mbaya zaidi ni kutaka kuwaibia hata yatima mali yao.Ama kweli hii laana kubwa kunyanayasa hao yatima.Huyu ni mtu gani asiye na huruma kwa watanzania yaani mnatenda dhambi hadi kufuru
 
Jeuri ya pesa na kufuru ya matumizi makubwa ya mabiloni ya fedha anayotumia waziri huyu yameleta taharuki kubwa hapa Mwanza.
Kwanza jengo la magholofa mawili yaliyoungana lilopo ktk kiwanja namba7 kitalu o barabara ya Rufiji, linaweza kuwa moja kati ya majengo 5 ya thamani ktk jiji.

Pili amenunua nyumba3 karibu najengo hilo kwa sh mil 400 kila nyumba sasa anafanya maongezi na wamiliki wengine wa nyumba nyingine3 ktk mtaa wa pili unguja ili anunue na kuvunja nyumba zote6 ili kupata parking.

Ktk mtaa huo amekwaa kisiki baada ya nyumba moja ya watoto yatima kuinunua kinyemela kwa sh mil 60 kuamuliwa na mahakama kuirejesha. Hayo
yote anayafanya kupitia kwa diwani mmoja wa CCM wilayani Sengerema ambaye ni mvuvi


anajiandaa kwa maisha baada ya uwaziri. Nazo tutazitaifisha tu muda ukifika
 
Hapo kwenye magorofa mawili sijakupata,ni pale karibu na hospitali ya kilonzo?
 
Ni kweli hilo jengo lipo hapa Mwanza.tunamsifu kwa kuongeza mandhari safi ya mji wetu.Lakini taarifa tulizo nazo hapa mwanza ni kua ujio wa majengo hayo umeleta mateso makubwa kwa wamiliki wa nyumba namba 44na45 ambao waligoma kuuza nyumba zao.huyo kiongozi wa ccm kutumia madalali na watu wa mahakama nasikia walifinikisha kununua nyumba mojawapo kimabavu kupitia mahakama.Baada ya kubaini mchezo huo mahakama kuu iliamuru wote walohusika na mchezo huo akiwemo hakimu mmoja mwenye cheo cha juu wachunguzwe na kuchukuliwa hatua za kisheria.Taarifa tulizo nazo nikwamba jitihada zote za kuwafungulia mashitaka watuhumiwa hao zinagonga mwamba kutokana na nguvu waliyonao watu hao na hakimu huyo anapeta mpaka leo.kuona habari hii kwenye mtandao imenigusa kwani ni wazi kuwa jambo hili linafaamika sana na wakazi wengi wa mitaa ya uhuru,Rufiji,Uguja hadi huku kwetu nyakabungo. Taarifa tunazozisikia ni kwamba hao wamiliki ambao ni vijana walofiwa na wazazi wao hivi sasa wanachangishana fedha kumtuma mmoja wao Dar kwenda ngazi za juu zaidi.Nikipata muda nitawaomba hao watu moja ya nakala ya hukumu ya jaji mmoja niiweke humu kwenye jamvi uone jinsi pesa inavyohalibu ufahamu wa mahakimu wetu
 
Tuwekee data zinazodhibitisha umilki wa Ngeleja. Sio utuletee porojo kama za Sumaye kipindi kile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom