Ngeleja azima hoja ya Escrow

Ngeleja azima hoja ya Escrow

Ni miaka zaidi ya mitatu sasa tangu tutangaziwe juu ya billioni 14 za maji Sengerema. Kama kinachozungumzwa ni kweli kwa sasa ilitakiwa maji yawe yanatiririka Wilaya nzima. Ni kawaida ya wanasiasa kuzungumza uongo kwa ajili ya maslahi yao. Kilikushinda ndani ya miaka kumi, hata ukiongezewa mingine mitano hutaweza kukifanya.
 
Ni miaka zaidi ya mitatu sasa tangu tutangaziwe juu ya billioni 14 za maji Sengerema. Kama kinachozungumzwa ni kweli kwa sasa ilitakiwa maji yawe yanatiririka Wilaya nzima. Ni kawaida ya wanasiasa kuzungumza uongo kwa ajili ya maslahi yao. Kilikushinda ndani ya miaka kumi, hata ukiongezewa mingine mitano hutaweza kukifanya.
 
We Filys na Kioju acheni kujishaua, Ngeleja ni mtambo wa maendeleo. Huo mradi wa maji unaotekelezwa ni mkubwa kuliko mradi mwingine wowote unaotekelezwa hapa nchini kwa ngazi ya wilaya,bil 23 mchezo? Afu mkandarasi tena kampuni ya kichina yuko site na maji yanaanza kutiririka mwezi juni,2015. Kama nyie ni wa sengerema kweli nadhani juzi mlishuhudia jinsi Ngeleja alivyo mfalme sengerema. Maelfu ya watu huku wakimshangilia mwanzo mwisho,jamaa a akubalika balaa ndo maana baada ya mkutano ule umati ule ulimzuia asipande gari ili wamsindikize hadi ofc za CCM Wilaya.
 
Baada ya miezi miwili kuanzia sasa tutarajie maji. Mimi nanunua dumu la maji yasiyosalama kwa Tshs 500 kila siku. Hii ni hasara kubwa sana. Kwa Hivyo ni lazima nichukie.
 
Wewe kioju hujui nini unazungumza au hujui nini unafanya Ngeleja amesaidia chama chake cha CCM kimepata 83% dhid ya17% za CDM richa ya kashfa za kinafiki na zakuzushiwa za escrow, we kioju unazungumza propaganda tu na siasa za maji taka lakini unajua kuwa ngeleja uwezo wake Mkubwa na ana legacy kubwa hapa nchini.

Watu kama nyie mnatakiwa kufundshwa na vboko, anyway bak ukimwamin huyo kichwa maji wako bt mpe salam manake ndn kaku2ma mwambie harud bungen tena tushamchoka.
Mwisho cjibizan na ww tena nakutakia siku njema lakn pia tafakar kisha chukua hatua
 
Wewe ndo humtaki ila wanasengerema kwake ni mia mia. Uchaguzi serikali za mitaa kashinda kwa ushindi wa kishindo wa 83% against 17% Ukawa halafu ujibalaguze kuwa hana kitu jimboni.

Kwa taarifa yako, Ngeleja ni level ya kitaifa, presidential post na sio habari ya Ubunge. Nyie jibalaguzeni tu ila yeye hana tatizo na wana sengerema maana anajua akitaka jimbo wiki moja tu anachukua jimbo.

Dream on mr. Dreamer ngereja akigombea uraisi nachukua form kwa chama cha SAU ambacho hakitambulik na watanzania walio wenp alafu namshnda kwa mbali tu,
Afu nyie wapambe wa ngereja heb msimdanganye jamaa yenu ili mpewe hela wachumia tumbo nyie, mwambien ukwel achen kumjaza ujinga et level za ugombea urais du! Unafikir urais n kuamka asubuh na kuutaka, ila mkuu wa kaya kafanya nchi hii ionekane urais n kitu cha kawaida sana hadi kina ngereja mawazir waliokua mizigo kwenye wizara wakabebwa had na mbeleko ya chuma ikashndkana mwishowe wakatapkwa et nao wanawaza level za urais! Ngoja nilale mie, mpe salamu mwambie hvyo hvyo kwamba akitaka jimbo hli alitafte ndan ya wiki mbili na ukumbuke zile rushwa alizokua anazitawanya kipnd cha kura za maon ndan ya chama dhid ya kijana mwelev Shejamabu ilikua ni jeur ya uwazir sasa sahv na vjisent vya ubunge lazima atoe ulimi ka pupy aliekmbiza mwiz
 
Dream on mr. Dreamer ngereja akigombea uraisi nachukua form kwa chama cha SAU ambacho hakitambulik na watanzania walio wenp alafu namshnda kwa mbali tu,
Afu nyie wapambe wa ngereja heb msimdanganye jamaa yenu ili mpewe hela wachumia tumbo nyie, mwambien ukwel achen kumjaza ujinga et level za ugombea urais du! Unafikir urais n kuamka asubuh na kuutaka, ila mkuu wa kaya kafanya nchi hii ionekane urais n kitu cha kawaida sana hadi kina ngereja mawazir waliokua mizigo kwenye wizara wakabebwa had na mbeleko ya chuma ikashndkana mwishowe wakatapkwa et nao wanawaza level za urais! Ngoja nilale mie, mpe salamu mwambie hvyo hvyo kwamba akitaka jimbo hli alitafte ndan ya wiki mbili na ukumbuke zile rushwa alizokua anazitawanya kipnd cha kura za maon ndan ya chama dhid ya kijana mwelev Shejamabu ilikua ni jeur ya uwazir sasa sahv na vjisent vya ubunge lazima atoe ulimi ka pupy aliekmbiza mwiz

Mawazo yako mafupi kama maisha ya funza kwani kuna Mtu special kuwa raisi? Ngeleja uwezo wake Mkubwa sana hauwezi kuyumbishwa napropaganda za wasakatonge kama wewe unayetumiwa kama dekio.
 
Mawazo yako mafupi kama maisha ya funza kwani kuna Mtu special kuwa raisi? Ngeleja uwezo wake Mkubwa sana hauwezi kuyumbishwa napropaganda za wasakatonge kama wewe unayetumiwa kama dekio.

mhh mpigieni kampeni ubunge huko huko sengerema anafaa urais huyu alipokua waziri wa nishati tanesco walikua wanaagiza misumari wakidai ni meter kwa mabilion,tanesco ugawaji wa umeme na kukatika yy ndie mpaliliaji mkuu kati ya watendaji wabovu kabisa nchi hii na yy ktk list ya watu kumi yumo,ndio maana pro luhanga mkuu wa udsm miaka ya nyuma baadhi ya kozi aliziita za miandiko hazina shughuli yyte,wengi waliokimbia hesabu ufikiri tatizo.
 
kiukweli huyu jamaa wa kuitwa Ngeleja ipo namna....maana kila kijana ni Ngeleja...yapo mengi sana mazuri ameyafanya....na amenishawishi nimfatilie zaidi maana inaonesha ana kitu cha pekee
 
Mawazo yako mafupi kama maisha ya funza kwani kuna Mtu special kuwa raisi? Ngeleja uwezo wake Mkubwa sana hauwezi kuyumbishwa napropaganda za wasakatonge kama wewe unayetumiwa kama dekio.

Naona imekuingia vzr tulia usitokwe na povu uongoz n kipaji huwez kumpa mtu yeyote dhamana kubwa kama hyo na kwa mujib wa akil yako hata kchaa wa kitaa chako anaweza kua rais, watu wa jinsi yako kuwako kwenye hii nchi ni hatar sana. Pole kibaraka wa fisad wa escrow unaedanganya wananch et nlipewa ili nisaidie jimbo! Eboo! Mbna boss wako ameipgia magot tume ya maadil kuomba wasimwadhibu? Wajanja washajua that is all bout safar kuelekea october na nakwambia mpelekee taarifa kuwa akin dekio huku wanakufuta na kukutoa nje kama kaz ya dekio inavyo fanya hahahaaaa..... time wil tel
 
sisi kina gogo la shamba tulishasema ili upate uongozi 2015 lazima ieleweke wazi katika kuelezea Fedha za Escrow je? ni wizi au ni alali watu kujichotea? hatuitaji zimetumika vipi
 
Amejieleza vizuri sana ndugu Ngeleja katika hili swala la escrow, ni wazi kuwa issue hii ilichezwa kisiasa kwa lengo la kuwatoa watu kafara. Swala la kujiuliza hv kwa nn zitto akututajia majina ya muamala wa Stanbinc na wala hataki kuzungumza
 
Sidhani kama kweli wewe ni mwana sengerema au unatend kuwasemea wana sengerema.

Maamuzi ya Sengerema yako mikononi mwetu watu wa sengerema.

Well done Ngeleja, njia ni Nyeupe kwako kwa ngazi ya juu zaidi kuliko hata huo ubunge.

Dah! Mbona watanzania tunapenda sana kujisahaulisha? Ni juzi tu mabomu kwa mara ya kwanza yalipigwa mjini Sengerema baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kuiendea vibaya CCM na hali ilikuwa mbaya mno kwa CCM. Uchaguzi ulipomalizika mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita bwana Msukuma alikuja na kusema bayana kuwa uchaguzi umeiendea vibaya CCM mjini Sengerema kwa sababu kuna vyuo viwili maeneo ya mission, wanachuo wa nje ya nchi walijiandikisha ili kuipigia kura CDM na maeneo mengine kijana mmoja alijiandikisha mara sita ili kuipa ushindi CDM! Huyo ni mwenyekiti wa chama wa mkoa aliyasema hayo....sasa kwa sababu hizo za kitoto za mwenyekiti bado manadanganya watu CCM nambari wani mjini Sengerema?
 
Dah! Mbona watanzania tunapenda sana kujisahaulisha? Ni juzi tu mabomu kwa mara ya kwanza yalipigwa mjini Sengerema baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kuiendea vibaya CCM na hali ilikuwa mbaya mno kwa CCM. Uchaguzi ulipomalizika mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita bwana Msukuma alikuja na kusema bayana kuwa uchaguzi umeiendea vibaya CCM mjini Sengerema kwa sababu kuna vyuo viwili maeneo ya mission, wanachuo wa nje ya nchi walijiandikisha ili kuipigia kura CDM na maeneo mengine kijana mmoja alijiandikisha mara sita ili kuipa ushindi CDM! Huyo ni mwenyekiti wa chama wa mkoa aliyasema hayo....sasa kwa sababu hizo za kitoto za mwenyekiti bado manadanganya watu CCM nambari wani mjini Sengerema?

83% ccm na 17% cdm. Ni akili ya kitoto sana kujiuliza kuwa cdm ina uwezo wa kushinda sengerema. Smart person hawezi kuota hilo. Only leghman like you that can think in that way.
 
Ngeleja anamchango gani hapa nchini,kwenye nishati aliproove big failure, mm nmesoma sengerema maji ni shida Leo miaka 11 toka nmemalza.halafu unamtetea mtu dzaini hii,tazama wazazi wako na nduguzo wanavyoteseka upande wa maji.badilikeni na nyie.
 
tuache siasa za kutoana kafara kwa baadhi ya watu na siasa za majungu. Ngeleja mimi naona yuko vizuri kisiasa. Mwanasiasa mtulivu na anayetabirika. Tatizo la nchi yetu kwa sasa watu wanataka umaarufu binafsi tofauti kabisa na ndg. Ngeleja. Piga kazi kiongozi achana na majungu utafika mbali
 
Back
Top Bottom