Dream on mr. Dreamer ngereja akigombea uraisi nachukua form kwa chama cha SAU ambacho hakitambulik na watanzania walio wenp alafu namshnda kwa mbali tu,
Afu nyie wapambe wa ngereja heb msimdanganye jamaa yenu ili mpewe hela wachumia tumbo nyie, mwambien ukwel achen kumjaza ujinga et level za ugombea urais du! Unafikir urais n kuamka asubuh na kuutaka, ila mkuu wa kaya kafanya nchi hii ionekane urais n kitu cha kawaida sana hadi kina ngereja mawazir waliokua mizigo kwenye wizara wakabebwa had na mbeleko ya chuma ikashndkana mwishowe wakatapkwa et nao wanawaza level za urais! Ngoja nilale mie, mpe salamu mwambie hvyo hvyo kwamba akitaka jimbo hli alitafte ndan ya wiki mbili na ukumbuke zile rushwa alizokua anazitawanya kipnd cha kura za maon ndan ya chama dhid ya kijana mwelev Shejamabu ilikua ni jeur ya uwazir sasa sahv na vjisent vya ubunge lazima atoe ulimi ka pupy aliekmbiza mwiz