Mtanzania Kwanza
New Member
- May 24, 2013
- 3
- 0
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.
Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?
Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?