Ngeleja achafua hali ya hewa bungeni

Ngeleja achafua hali ya hewa bungeni

:A S tongue::smow: kwwenye profilefacebook yake ameandika yeye BADO ni waziri wa nishati na madini tz
 
Naungana na kauli ya Mh. Halima Mdee kuwa Willam Ngeleja ana machungu ya kuenguliwa uwaziri. Jana mh. Ngeleja alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti aliongea kwa kutumia nguvu nyingi, jazba huku povu likimtoka mdomoni kuponda bajeti kivuli ya kambi ya upinzani.

Ombi kwa bw. Ngeleja ni kuwa zama zake zimekwisha, mbegu zake za siasa alizipanda juu ya mwamba zimeshindwa kuota, ni vyema akae kimya bungeni kuliko kuongea pumba.
 
Ngeleja ni anatuzingua tu hamna lolote ile haikuwa mada tena coz ilishaongelewa na mbunge mwingine the day before Big up Halima
 
Kwa kujadili bajeti ya upinzani badala ya serikali Ngeleja amepigilia msumari kuhakiki kwamba CCM ni wapinzani.
 
pole sana ngeleja, uwa mpole kama kamanda Lowassa! Bado we mdogo sana hata kwa experience huna!
 
Hata huyu mbunge mwenzake jimbo la Kilindi Mheshimiwa B.Shelukindo amemponda Ngeleja kiaina kwa kuupongeza upinzani kwa kazi nzuri ya kuiamsha serikali dhaifu iliyolala ya CCM. Bwana mdogo Ngeleja maji yamemfika shingoni
 
Hivi bado ana ujasiri wa kusimama mbele za watu na kujifanya safi na ana mpango wa kuiokoa nchi
 
Ati tubadilishane jezi.......wakati zafanana?

Pix-4.JPG
 
Mwacheni Ngeleja aage bungeni.. anajua hawezi rudi humo labda kwa vile viti maalumu
 
Baada ya kutemwa uwaziri ni kweli amekuwa na hasiara sana .Alichokuwa anafanya Bungeni haikuwa akili yake ya kawaida maana ilikuwa ni mara ya kwanza kuchangia kama Mbunge so he was learning.Ila alianzia pabaya ambapo hajui anacho kisema .Najua Ngeleja unatamba na ukibisha nisema lini na wapi ulimsema ukiwa umepata kilevi .Ngeleja anatamba kwamba soon ataibuka tena kwa kishindo na wanao lia watalia zaidi .Akima maanisha kwamba muda wowote anaweza kuukwaa ulaji mkubwa zaidi ya Ubunge .Mimi naishi hapa Tanzania Nchi ambayo ukisikia tetesi basi ujue tayari issue tayari .Kwa uwezo mdogo wa Ngeleja kunywa na kuanza kutamba na juzi kubwabwaja bungeni nimeshawishika kutaka kuamini asemayo.Wana JF sasa tutege masikio muda wotre tusikie kama kweli Tanzania mtu aliye shindwa kazi hupewa ulaji zaidi ? Maana tumesha ona wengi ama Ubalozi ama Ukuu wa Wilaya nk .Sasa anakuja Ngeleja povu lile halikuwa la kawaida .Tegeni masikio niko naye koo kwa koo sasa .
 
Sikuona chochote alichofanya nishati na madini zaidi ya maneno tu,oh mara tatizo la umeme litakua historia,matokeo yake likazidi kuongezeka.pia kuna suala la uadilifu kwa huyu mtu kwa nini anatuhumiwa ktk mambo mengi ya ubadhilifu,dhuluma,kutumia madaraka vibaya,ikiwa pamoja na kufukuzisha watu kazi na kuwaharibia maisha yao na familia zao.nina wasiwasi na kazi wanayotarajia kumpa labda isihusishe maisha ya watu moja kwa moja,maana viongozi wa namna hii wanajali maisha yao binafsi na future ya watoto wao na kuangamiza watoto wa wengine ili wa kwao waishi vizuri hapa duniani huku wakisahau kuwa mwisho wa siku watasimama kujibu mbele ya Mungu kwa hukumu
 
Sikuona chochote alichofanya nishati na madini zaidi ya maneno tu,oh mara tatizo la umeme litakua historia,matokeo yake likazidi kuongezeka.pia kuna suala la uadilifu kwa huyu mtu kwa nini anatuhumiwa ktk mambo mengi ya ubadhilifu,dhuluma,kutumia madaraka vibaya,ikiwa pamoja na kufukuzisha watu kazi na kuwaharibia maisha yao na familia zao.nina wasiwasi na kazi wanayotarajia kumpa labda isihusishe maisha ya watu moja kwa moja,maana viongozi wa namna hii wanajali maisha yao binafsi na future ya watoto wao na kuangamiza watoto wa wengine ili wa kwao waishi vizuri hapa duniani huku wakisahau kuwa mwisho wa siku watasimama kujibu mbele ya Mungu kwa hukumu dhidi ya dhuruma dharau na manyanyaso wanayowafanyia wananchi kwa kutumia madaraka na fedha huku wakisahau kuwa bila hao wao wasingekua hapo
 
Baada ya kutemwa uwaziri ni kweli amekuwa na hasiara sana .Alichokuwa anafanya Bungeni haikuwa akili yake ya kawaida maana ilikuwa ni mara ya kwanza kuchangia kama Mbunge so he was learning.Ila alianzia pabaya ambapo hajui anacho kisema .Najua Ngeleja unatamba na ukibisha nisema lini na wapi ulimsema ukiwa umepata kilevi .Ngeleja anatamba kwamba soon ataibuka tena kwa kishindo na wanao lia watalia zaidi .Akima maanisha kwamba muda wowote anaweza kuukwaa ulaji mkubwa zaidi ya Ubunge .Mimi naishi hapa Tanzania Nchi ambayo ukisikia tetesi basi ujue tayari issue tayari .Kwa uwezo mdogo wa Ngeleja kunywa na kuanza kutamba na juzi kubwabwaja bungeni nimeshawishika kutaka kuamini asemayo.Wana JF sasa tutege masikio muda wotre tusikie kama kweli Tanzania mtu aliye shindwa kazi hupewa ulaji zaidi ? Maana tumesha ona wengi ama Ubalozi ama Ukuu wa Wilaya nk .Sasa anakuja Ngeleja povu lile halikuwa la kawaida .Tegeni masikio niko naye koo kwa koo sasa .
Mzee dhaifu wa MEGAWATT!
 
Back
Top Bottom