Mkuu in anycost nahitaji hiyo Tshirt nyeusi tena ndio mtoko wangu wa Weekend hii. pls njoo kwa inbox.
Mh. Mdee ndoa yako na mh.Yule wa arumeru ni lini? Tunaisubiri kwa hamu. Halafu dr. Slaa ndoa na mchumba wako bado, maana tunataka tutakapokukabidhi nchi ya kaskazini mwaka 2015 uwe umeoa sio utangetange barabarani. Naomba mwenyewe majibu ajibu Kama hakuna basi wajibu wenyewe watakapoingia humu jf. Viva cdm
Amempa za uso....
Wahenga walishaga sema kitambo, Ukiwa mjinga kaa kimya ili watu wadhani kuwa wewe nimjinga kuliko kuongea na watu wakathibitisha kuwa wewe kweli ni mjinga. Sasa Ngereja anona alivyoumbuka
Kuachwa!kuachwa!kuachwa!kubaya x 3.
Wewe unakonda,
mwenzio ananenepa!
Khalid cholaa aliimba bwana.
Machungu ya kuachwa yote hayo.uwaziri mnono kumbukeni omary nundu alitaka mpaka kulia!
Mh. Mdee ndoa yako na mh.Yule wa arumeru ni lini? Tunaisubiri kwa hamu. Halafu dr. Slaa ndoa na mchumba wako bado, maana tunataka tutakapokukabidhi nchi ya kaskazini mwaka 2015 uwe umeoa sio utangetange barabarani. Naomba mwenyewe majibu ajibu Kama hakuna basi wajibu wenyewe watakapoingia humu jf. Viva cdm
Mkuu,huyo ubunge mwisho wake 2015.Hilo analijua fika,vijana tumejipanga vilivyo.Waheshimiwa JF members
Tuache kuuma maneno;
Ngeleja hana uchungu wowote na budget bali kinacho muuma ni M4C jimboni kwake maana vijana hawana huruma naye kabisa na si muda mrefu utamsikia akilalamikia hizi harakati
juu kwa juu nataka nikuoe jk ni dhaifu simtaki!mh. Mdee ndoa yako na mh.yule wa arumeru ni lini? Tunaisubiri kwa hamu. Halafu dr. Slaa ndoa na mchumba wako bado, maana tunataka tutakapokukabidhi nchi ya kaskazini mwaka 2015 uwe umeoa sio utangetange barabarani. Naomba mwenyewe majibu ajibu kama hakuna basi wajibu wenyewe watakapoingia humu jf. Viva cdm