Ngedere nawapenda sana

Ngedere nawapenda sana

Mgirik

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
13,258
Reaction score
13,367
Hawa wanyama kwakweli huwa napenda sana kuwaangalia maana wanavijimambo na vituko mbalimbali..
48cac796648ed525cc9d0333c8bd2e15.jpg
3d4526abc0a8d233c2234c48ae2863ae.jpg
373965d36930e73ad19c9126ffcdbb22.jpg
3487bc9f90772330c25c8567c967aa25.jpg
 
Ni vitata hivyo, hawa jamaa wa lake Duluti Serena Hotel wana vilealea hapa mara wavipe ndizi na matunda mengine , sasa juzi vilikuja hapa hom vikafumua gunia la mahindi yakamwagika na ndizi vikala mgombani
 
Hawa wanyama kwakweli huwa napenda sana kuwaangalia maana wanavijimambo na vituko mbalimbali..
48cac796648ed525cc9d0333c8bd2e15.jpg
3d4526abc0a8d233c2234c48ae2863ae.jpg
373965d36930e73ad19c9126ffcdbb22.jpg
3487bc9f90772330c25c8567c967aa25.jpg
Hivi ngedere ndo hao ho tumbili?
Maana nakumbuka kuna mbungd wa chama fulani aliwahi kuitwa tumbili
 
Hawa wanyama kwakweli huwa napenda sana kuwaangalia maana wanavijimambo na vituko mbalimbali..
48cac796648ed525cc9d0333c8bd2e15.jpg
3d4526abc0a8d233c2234c48ae2863ae.jpg
373965d36930e73ad19c9126ffcdbb22.jpg
3487bc9f90772330c25c8567c967aa25.jpg
Kwanini Ngedele ndio wasimuliaji wa tamthilia za tingatinga?
TEMBELEA @U-TUBE TINGATINGA Tiles, lakini hawana thamani kama alivyo Tembo, Twiga au Simba?
NI NGEDELE PEKEE ANAYEWEZA KUMKENULISHA MBWA BILA YA KUNG'ATWA.
 
Ngedere wanawapenda sana ngedere wenzao si kama sisi binadamu. Nahisi sitakuwa nimenoa nikisema hata wewe mleta mada utakuwa ni ngedere flani hivi. Nimejua tu ulivosema unawapenda ngedere sana. Teh teh.
 
Ngedere wanawapenda sana ngedere wenzao si kama sisi binadamu. Nahisi sitakuwa nimenoa nikisema hata wewe mleta mada utakuwa ni ngedere flani hivi. Nimejua tu ulivosema unawapenda ngedere sana. Teh teh.
Haina shida mama nmekuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom