Erick Martie
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 301
- 338
mimi ni mwanafunzi wa kada ya afya ningependa mnisaidie kujua mishahara ya jeshi la polisi na serikalin kwa kaz hyo hyo moja inalingana au jeshi la polisi kuna marupurupu yanaongezeka,
na kama unafaham wanatoaje cheo kwa m2 mwenye digrii au diploma
na kama unafaham wanatoaje cheo kwa m2 mwenye digrii au diploma